Kumbe wayao ni wenyeji wa mkoani Mtwara? Leo nimejifunza kitu jipya kupitia hapa JF.

Kumbe wayao ni wenyeji wa mkoani Mtwara? Leo nimejifunza kitu jipya kupitia hapa JF.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Siku zote najuaga wayao ni wenyeji wa wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ila leo kupitia member wa Jf nimegundua kuwa kumbe wayao ni wenyeji wa Mtwara.

Asante sana Jf. Leo nimejifunza kitu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240727-154813.png
    Screenshot_20240727-154813.png
    242.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240727-154827.png
    Screenshot_20240727-154827.png
    207.8 KB · Views: 4
Wayao kwao Tunduru,huyo mtu ana sonona ndiyo maana anajifanya mjuaji wa kila kitu.
😂😂😂
Anataka aonekane ametoka kabila moja na Mkapa.

Alitaka kumaanisha " mmakuwa"

Halafu upande mwingine eti ni mzanaki( kwamba katoka kabila moja na Nyerere)


Halafu pia ni mtutsi( kwamba katoka kabila moja na Kagame)


😂😂😂😂😂
 
Siku zote najuaga wayao ni wenyeji wa wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ila leo kupitia member wa Jf nimegundua kuwa kumbe wayao ni wenyeji wa Mtwara.

Asante sana Jf. Leo nimejifunza kitu.
Umelishwa Matango Pori..hicho chanzo chako cha habari hata huko Masasi anakusikia tu.
Wayao asili yao ni Msumbiji Jimbo la Niassa na eneo kubwa la nchi ya Malawi.
Waliishi jirani na kabila la Wamakua na kutokana na migogoro baina yao(kuuzana kwenye utumwa) walikimbia Msumbiji kila mmoja kwa wakati wake kuvuka Mto Ruvuma/Lujenda na kujikuta Tanganyika.
Wamakua wakajikuta Masasi
,Nanyumbu na Newala Mtwara na Wayao Tunduru Ruvuma.
Kutokana na muingiliano wa kimaisha wapo Wayao Masasi na Wamakua Tunduru pia, ila Wayao wengi wako Tunduru na Wamakua wengi wako Masasi na Nanyumbu.
Wote hawa asili yao ni Kaskazini ya nchi ya Msumbiji.
 
Umelishwa Matango Pori..hicho chanzo chako cha habari hata huko Masasi anakusikia tu.
Wayao asili yao ni Msumbiji Jimbo la Niassa na eneo kubwa la nchi ya Malawi.
Waliishi jirani na kabila la Wamakua na kutokana na migogoro baina yao(kuuzana kwenye utumwa) walikimbia Msumbiji kila mmoja kwa wakati wake kuvuka Mto Ruvuma/Lujenda na kujikuta Tanganyika.
Wamakua wakajikuta Masasi na Newala Mtwara na Wayao Tunduru Ruvuma.
Kutokana na muingiliano wa kimaisha wapo Wayao Masasi na Wamakua Tunduru pia, ila Wayao wengi wako Tunduru na Wamakua wengi wako Masasi.
Wote hawa asili yao ni Kaskazini ya nchi ya Msumbiji.
GENTAMYCINE Habahatishi.

LIKUD hana Historia unaweza ukamwambia kuna wajaluo Tanzania atapinga aseme ni wakenya.
 
Umelishwa Matango Pori..hicho chanzo chako cha habari hata huko Masasi anakusikia tu.
Wayao asili yao ni Msumbiji Jimbo la Niassa na eneo kubwa la nchi ya Malawi.
Waliishi jirani na kabila la Wamakua na kutokana na migogoro baina yao(kuuzana kwenye utumwa) walikimbia Msumbiji kila mmoja kwa wakati wake kuvuka Mto Ruvuma/Lujenda na kujikuta Tanganyika.
Wamakua wakajikuta Masasi
,Nanyumbu na Newala Mtwara na Wayao Tunduru Ruvuma.
Kutokana na muingiliano wa kimaisha wapo Wayao Masasi na Wamakua Tunduru pia, ila Wayao wengi wako Tunduru na Wamakua wengi wako Masasi na Nanyumbu.
Wote hawa asili yao ni Kaskazini ya nchi ya Msumbiji.
Hivi nyie Watu wenye Akili Kubwa hapa JamiiForums huwa mnapata wapi muda wa Kuwaelimisha Wapumbavu mno?
 
Back
Top Bottom