Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Wewe upo nyuma ya wakati.Wakati Simba wakiwa kwenye harakati za kufanya uzinduzi wa Jezi yao kwenye Kilele cha Mlima KILIMANJARO na kujiwekea Historia na Rekodi nchini Tanzania na hata barani Afrika kama siyo Duniani kabisa.
Lakini Yanga wao waliweka rekodi huko juu ya Kilele kitambo sana enzi hizo wakiwa chini ya Udhamini wa Kile kinywaji kinachochangamsha mwili na hata ile mpya yenye mapicha picha baada ya kuipandisha Jezi yao japo haikuwa Official kwa Klabu ilikuwa ni Mashabiki wenye Mapenzi na Timu yao.
View attachment 2689282
Hawa jamaa hawasikii baridi ? Hizo t shirt bila makoti π€Wakati Simba wakiwa kwenye harakati za kufanya uzinduzi wa Jezi yao kwenye Kilele cha Mlima KILIMANJARO na kujiwekea Historia na Rekodi nchini Tanzania na hata barani Afrika kama siyo Duniani kabisa.
Lakini Yanga wao waliweka rekodi huko juu ya Kilele kitambo sana enzi hizo wakiwa chini ya Udhamini wa Kile kinywaji kinachochangamsha mwili na hata ile mpya yenye mapicha picha baada ya kuipandisha Jezi yao japo haikuwa Official kwa Klabu ilikuwa ni Mashabiki wenye Mapenzi na Timu yao.
View attachment 2689282
Aahaaaaaa OKW BOBAN SUNZU njoo hukuUmemalizia vizuri...haikuwa official...Uzi umefungwa
Eehhh tena hii kitambo wakati wa ile nembo ya zamani
Kitambo sana iyo ,naona hapo mpaka nembo ya Simba ni ile ya zamani miaka iyo.
Tofautisha tukio la kuzindua jezi na kitendo cha kupeleka jezi kwenye kilele cha Mlima.Wewe upo nyuma ya wakati.
aaah!!!kitambo sana hii mambo sisi.Wakati Simba wakiwa kwenye harakati za kufanya uzinduzi wa Jezi yao kwenye Kilele cha Mlima KILIMANJARO na kujiwekea Historia na Rekodi nchini Tanzania na hata barani Afrika kama siyo Duniani kabisa.
Lakini Yanga wao waliweka rekodi huko juu ya Kilele kitambo sana enzi hizo wakiwa chini ya Udhamini wa Kile kinywaji kinachochangamsha mwili na hata ile mpya yenye mapicha picha baada ya kuipandisha Jezi yao japo haikuwa Official kwa Klabu ilikuwa ni Mashabiki wenye Mapenzi na Timu yao.
View attachment 2689282