Kumbe yule jamaa iliyetembea uchi Morogoro na familia yake ni mwana MMU mwenzetu!

Kumbe yule jamaa iliyetembea uchi Morogoro na familia yake ni mwana MMU mwenzetu!

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Habari za uhakika kwa 100% zimeonesha yule jamaa aliyeonekana akitembea uchi na familia yake akiwa na mkwe wake Morogoro ni member mwenzetu wa MMU.

Chanzo cha taarifa hii ni yeye mwenyewe alipokuwa anahojiwa na chombo kimoja cha habari na kudai kwamba anajisikia vibaya sana kwani rafiki zake wa JF wanamzonga na kumcheka sana ila kawaonya kwamba kama wakiendelea kumcheka basi atafanya namna yoyote na wao watembee uchi popote walipo hapa dunia kwani yeye hajawahi kushindwa na kitu. Kama ni inshu ya kibamia ni chake na mke wake wao kinawahusu nini.

Aisee kumbe JF inawatu wa aina nyingi sana hivyo inatupasa kuwa makini sana na ushauri wao wanaotupa.

Ni hatari sana.
 
Eeeh hivi kuna nini Tanzania yangu, mara watu watembee uchi mara nasikia vijana wanaringisha vikojoleo hadharani😨😱
 
Mbona wale cha mtoto , mambo wanayofanya wabunge na hao wanaojiita viongozi wakiwa kwenye harakati zao za kusaka vyeo ni zaidi ya ile ni balaa tupu
 
Habari za uhakika kwa 100% zimeonesha yule jamaa aliyeonekana akitembea uchi na familia yake akiwa na mkwe wake Morogoro ni member mwenzetu wa MMU.

Chanzo cha taarifa hii ni yeye mwenyewe alipokuwa anahojiwa na chombo kimoja cha habari na kudai kwamba anajisikia vibaya sana kwani rafiki zake wa JF wanamzonga na kumcheka sana ila kawaonya kwamba kama wakiendelea kumcheka basi atafanya namna yoyote na wao watembee uchi popote walipo hapa dunia kwani yeye hajawahi kushindwa na kitu. Kama ni inshu ya kibamia ni chake na mke wake wao kinawahusu nini.

Aisee kumbe JF inawatu wa aina nyingi sana hivyo inatupasa kuwa makini sana na ushauri wao wanaotupa.

Ni hatari sana.
Kheee... Sasa kama hajawahi kushindwa kitu, alishindwaje kuzuia kutembezwa uchi? Mkwara huo
 
Back
Top Bottom