johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chato Airport umeisahau?
Waziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dr Sada Mkuya amesema wamepokea dolla milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.
Dr Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.
Mapinduzi Daima!
Kwa hii stress tutegemee loloteInawezekanaje mkoa mdogo kuliko hata pwani ukapokea madolari mengi namna hiyo? Ndugai for presidency 2025!
Hiyo pesa ni nyingi sanaWaziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dr Sada Mkuya amesema wamepokea dolla milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.
Dr Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.
Mapinduzi Daima!
Zanzibar ni nchi kamili.Ukiangalia ukubwa wa Zanzibar na Tanganyika uwiano huo unaziona kidogo hizo?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Zanzibar haijawahi tenga bajeti ya kulipia mikopo ya nje ya nchiHaina shida maadam wakati wa kulipa tutalipa wote
Zanzibar inapata mgao kama nchi.Kwa idadi ya watu wa zanzibar hiyo ni nyingi sana