#COVID19 Kumbe Zanzibar imepata Tsh 200 bilioni tu katika ule mkopo wa COVID tofauti na inavyoelezwa na Wanasiasa uchwara!

#COVID19 Kumbe Zanzibar imepata Tsh 200 bilioni tu katika ule mkopo wa COVID tofauti na inavyoelezwa na Wanasiasa uchwara!

Waziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dr Sada Mkuya amesema wamepokea dolla milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.

Dr Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.

Mapinduzi Daima!
Hicho kimkoa chenye watu milioni 2 kinakula bilioni 230! Yani sijui kwanini hakaendelei kama Hong-Kong. Hovyo kabisa!
 
Inawezekanaje mkoa mdogo kuliko hata pwani ukapokea madolari mengi namna hiyo? Ndugai for presidency 2025!
Baba wa taifa ndo aliyaweka Haya Sio huko tu mpaka kwenye ajira ni 21-79 mengi wanafaidi lakini Huu Muungano unahitajika sana na Bara kuliko wanavouhitaji ndo maana unalindwa kwa gharama yoyote
 
Chato iko Tanganyika na sio nchi nyingine Zanzibar haiwezi kujengwa kwa expence za watanganyika haiko hivo na muungano huu hauna maslahi kwa Tanganyika, hakuna mtanganyika anaweza kua Rais Zanzibar hayupo
Hili swali au maelezo yako yanapashwa kumwendea mh Hangaya
 
Baba wa taifa ndo aliyaweka Haya Sio huko tu mpaka kwenye ajira ni 21-79 mengi wanafaidi lakini Huu Muungano unahitajika sana na Bara kuliko wanavouhitaji ndo maana unalindwa kwa gharama yoyote
Ulikuwa unahitajika zaman sio sasa hamna sababu yenye mashiko zaidi ya stori za undugu na ujamaa...
 
Hapana uwiano uliona wapi muungano ambao wao wana uraia pacha yaani wakiwa kwao hujiita wazanzibar na wakiwa huku hujiita watanzanai kinafiki ili kutupumbaza, hakuna usawa hapo Tanganyika ina watu milioni karibu 60 , wao wako milioni moja na laki tano lakini tunawahudumia msidhani hatuoni kwa uchumi upi walionao watalipa hiyo bilioni 200 wakati bajeti yao hawatengi pesa kulipa mikopo ya nje
Wakati tunaungana Zanzibar ilikuwa tajiri kuliko Tanganyika!
 
Back
Top Bottom