antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Siyo milioni 200.....kupewa milioni 200 Kuna shida Gani, ...
Amesema BiLIONI 200 na ushee,
na itakuwa ni propaganda tu!
Itakuwa ni nyingi kuliko hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo milioni 200.....kupewa milioni 200 Kuna shida Gani, ...
Bilioni miambili kwa Zanzibar ni hela nyingi mno....hivi bajeti yao kwa mwaka ni bei gani?
Hicho kimkoa chenye watu milioni 2 kinakula bilioni 230! Yani sijui kwanini hakaendelei kama Hong-Kong. Hovyo kabisa!Waziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dr Sada Mkuya amesema wamepokea dolla milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.
Dr Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.
Mapinduzi Daima!
Baba wa taifa ndo aliyaweka Haya Sio huko tu mpaka kwenye ajira ni 21-79 mengi wanafaidi lakini Huu Muungano unahitajika sana na Bara kuliko wanavouhitaji ndo maana unalindwa kwa gharama yoyoteInawezekanaje mkoa mdogo kuliko hata pwani ukapokea madolari mengi namna hiyo? Ndugai for presidency 2025!
Hili swali au maelezo yako yanapashwa kumwendea mh HangayaChato iko Tanganyika na sio nchi nyingine Zanzibar haiwezi kujengwa kwa expence za watanganyika haiko hivo na muungano huu hauna maslahi kwa Tanganyika, hakuna mtanganyika anaweza kua Rais Zanzibar hayupo
Ulikuwa unahitajika zaman sio sasa hamna sababu yenye mashiko zaidi ya stori za undugu na ujamaa...Baba wa taifa ndo aliyaweka Haya Sio huko tu mpaka kwenye ajira ni 21-79 mengi wanafaidi lakini Huu Muungano unahitajika sana na Bara kuliko wanavouhitaji ndo maana unalindwa kwa gharama yoyote
Mkuu Siasa za Zanzibar zinachezwa Bara hata raisi wao anateuliwa bara kule wanakamilisha ratiba tu Huu muungano haufi leo wala keshoUlikuwa unahitajika zaman sio sasa hamna sababu yenye mashiko zaidi ya stori za undugu na ujamaa...
Wakati tunaungana Zanzibar ilikuwa tajiri kuliko Tanganyika!Hapana uwiano uliona wapi muungano ambao wao wana uraia pacha yaani wakiwa kwao hujiita wazanzibar na wakiwa huku hujiita watanzanai kinafiki ili kutupumbaza, hakuna usawa hapo Tanganyika ina watu milioni karibu 60 , wao wako milioni moja na laki tano lakini tunawahudumia msidhani hatuoni kwa uchumi upi walionao watalipa hiyo bilioni 200 wakati bajeti yao hawatengi pesa kulipa mikopo ya nje
Labda ndugayy akawe Rais wa vipofu wenzieInawezekanaje mkoa mdogo kuliko hata pwani ukapokea madolari mengi namna hiyo? Ndugai for presidency 2025!
Kwa nchi!Bil mia mbili kwa watu mil 1.7?
Tukivunja muungano mtaumia kwa kodi zetu
Vunjeni huo muungano muone kama kisiwa hakizami hicho!Tukivunja muungano mtaumia kwa kodi zetu
Utakufa tu..Mkuu Siasa za Zanzibar zinachezwa Bara hata raisi wao anateuliwa bara kule wanakamilisha ratiba tu Huu muungano haufi leo wala kesho
Ondoeni majengo yenu na ofisi zenu za TRA kule zanzibar kama mtaishi na kulipana mishahara yenu na posho na mlo wa chakulaVunjeni huo muungano muone kama kisiwa hakizami hicho!
SawaVunjeni huo muungano muone kama kisiwa hakizami hicho!
Hivi zenji katika mapato yote ya tz c mnachangia asilimia 5 tuu!Ondoeni majengo yenu na ofisi zenu za TRA kule zanzibar kama mtaishi na kulipana mishahara yenu na posho na mlo wa chakula
TRA wapo zbarZanzibar haijawahi tenga bajeti ya kulipia mikopo ya nje ya nchi
Zanzibar ni sehemu ya JMT.Kwa nchi!