Kumbe ZARI WHITE PARTY ilikuwa ya Clouds Fm?

Kumbe ZARI WHITE PARTY ilikuwa ya Clouds Fm?

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,467
Leo ndio nimegundua hili baada ya Ruge kusema wakati anafanyiwa interview na xxl.alikuwa anamzungumzia Dj D ommy namna alivokwenda clouds "tulimwita kwenye Zali white party japo show ilikuwa ni yetu".harafu huyu Ruge akiambiwa huwa anakataa kwamba yupo nyuma ya baadhi ya wasanii.ni safi lakini maana anajua kuisaka hela,means Zali aligeuzwa ni fursa hapo
 
Leo ndio nimegundua hili baada ya Ruge kusema wakati anafanyiwa interview na xxl.alikuwa anamzungumzia Dj D ommy namna alivokwenda clouds "tulimwita kwenye Zali white party japo show ilikuwa ni yetu".harafu huyu Ruge akiambiwa huwa anakataa kwamba yupo nyuma ya baadhi ya wasanii.ni safi lakini maana anajua kuisaka hela,means Zali aligeuzwa ni fursa hapo
Zali???

Harafu???
 
Leo ndio nimegundua hili baada ya Ruge kusema wakati anafanyiwa interview na xxl.alikuwa anamzungumzia Dj D ommy namna alivokwenda clouds "tulimwita kwenye Zali white party japo show ilikuwa ni yetu".harafu huyu Ruge akiambiwa huwa anakataa kwamba yupo nyuma ya baadhi ya wasanii.ni safi lakini maana anajua kuisaka hela,means Zali aligeuzwa ni fursa hapo
Ndio show ilikuwa yao kwa maana WALIINUNUA KUTOKA KWA ZARI & DIAMOND NDIO IKAWA YAO. Pole sana kama hujui kuwa DUNIA YA SASA iko huru kwa yeyote kuchukua fulsa, hata wewe ukitaka NENDA KAONGEE BEI NA WCB MAPEMA UCHUKUE SHOW WALIYOITANGAZA ITAKUWA 24/12/2016. Wakiwahi wenzenu MUSIWE MNALALAMIKA.
 
ZALI ndio nani tena maana hapa mjini kila siku anazaliwa STAR mpya.
 
Leo ndio nimegundua hili baada ya Ruge kusema wakati anafanyiwa interview na xxl.alikuwa anamzungumzia Dj D ommy namna alivokwenda clouds "tulimwita kwenye Zali white party japo show ilikuwa ni yetu".harafu huyu Ruge akiambiwa huwa anakataa kwamba yupo nyuma ya baadhi ya wasanii.ni safi lakini maana anajua kuisaka hela,means Zali aligeuzwa ni fursa hapo
Ndio maana nilishangaa, Yale mapokezi ya zari yalikua ni bab kubwa pale clouds nikasema kuna kitu nyuma ya pazia, looh
 
Ni katika kutafuta maisha tu acha aka mate fursa mzee wa mawingu
 
Ndio show ilikuwa yao kwa maana WALIINUNUA KUTOKA KWA ZARI & DIAMOND NDIO IKAWA YAO. Pole sana kama hujui kuwa DUNIA YA SASA iko huru kwa yeyote kuchukua fulsa, hata wewe ukitaka NENDA KAONGEE BEI NA WCB MAPEMA UCHUKUE SHOW WALIYOITANGAZA ITAKUWA 24/12/2016. Wakiwahi wenzenu MUSIWE MNALALAMIKA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vipi mbona povu linakutoka?
 
Leo ndio nimegundua hili baada ya Ruge kusema wakati anafanyiwa interview na xxl.alikuwa anamzungumzia Dj D ommy namna alivokwenda clouds "tulimwita kwenye Zali white party japo show ilikuwa ni yetu".harafu huyu Ruge akiambiwa huwa anakataa kwamba yupo nyuma ya baadhi ya wasanii.ni safi lakini maana anajua kuisaka hela,means Zali aligeuzwa ni fursa hapo

ZALI white party ilikua ya clouds ila ZARI white party sijui ilikua ya nani!
 
Back
Top Bottom