Noma sana!Imeisha hiyo...japo kifo ni kifo tu
Ona uzuzu wako hapo, hivi watu wa singida mna matatizo ganiImeisha hiyo...japo kifo ni kifo tu
sijui, I copied it as it is!Kwani kifo ni adhabu? Na je wanaokufa huku wanamtukuza Mungu wao wamekosea nini?.
Ccm wanajuaga Mungu mwanachama mwenzao...Kufuru inawezekana kabisa Mungu sometimes huwa anazijibu mapema.
msikilize huyu mama wa CCM huko zanzibar akimkufuru Mungu wa Mbinguni.
amekufa jana??/leo??
View: https://youtu.be/mZrWULO4BYE
ππππKufuru inawezekana kabisa Mungu sometimes huwa anazijibu mapema.
msikilize huyu mama wa CCM huko zanzibar akimkufuru Mungu wa Mbinguni.
amekufa jana??/leo??
View: https://youtu.be/mZrWULO4BYE
Pengine amefanya toba, lkn kama hakuomba toba akajiona ukada zaidi kuliko dini yake, Allah ndio anajuaKwani kifo ni adhabu? Na je wanaokufa huku wanamtukuza Mungu wao wamekosea nini?.
π€£Ona uzuzu wako hapo, hivi watu wa singida mna matatizo gani
Umeona eeHata mimi nikifa watasema sababu kuu ni kupinga dini .
nona umejitokeza maana wewe huwa una like tu π π π π chawa utawajua tuKwamba kusema hivyo ndio huyo Mungu kamuua?
Usicheke ninyi wasingida mna matatizo makubwa Sana ya akiliπ€£
Sijawahi kuwa chawa mkuunona umejitokeza maana wewe huwa una like tu π π π π chawa utawajua tu
Uliwaona wapi?Kwani kifo ni adhabu? Na je wanaokufa huku wanamtukuza Mungu wao wamekosea nini?.
Siungi mkono kufuru, lakini kifo hakihusiani na makosa au mema uliyofanya hiyo ni hatma ya binadam.