Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Adhabu......dhambiKwamba kusema hivyo ndio huyo Mungu kamuua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adhabu......dhambiKwamba kusema hivyo ndio huyo Mungu kamuua?
Kila sekunde watu wanakufa duniani kote kwa hiyo na wao wamefanya nini?Adhabu......dhambi
Kina nani?Uliwaona wapi?
Umepiga cha wapi mwamba?Hakuna uhusiano wowote ule wa kufa na Kukufuru Mungu. Kwa sababu huyo Mungu hajawahi kuwepo na hayupo.
Huyo Mungu kama akikufuriwa anaua watu, Aje aniue kama ana huo uwezo.
Usiku sikilizia, umekwisha😂😂😂😂😂Hakuna uhusiano wowote ule wa kufa na Kukufuru Mungu. Kwa sababu huyo Mungu hajawahi kuwepo na hayupo.
Huyo Mungu kama akikufuriwa anaua watu, Aje aniue kama ana huo uwezo.
Kwi kwi kwi kwiiii 😆😂🤣🤣🤣🤣.unanikumbusha mashabiki wa utopolo.walimuomba mungu awaletee malaika wacheze nao.timu za Tanzania zimewashindwa.
Akawaletea azam na tabora.
Ambao wote wamefungwa na simba.
Wakisha shiba huwa wanajitoaga ufahamu kana kwamba Mungu naye anakadi ya ccm, nikikumbuka na ile kauli ya bungeni ya atake asitake..........Kufuru inawezekana kabisa Mungu sometimes huwa anazijibu mapema. msikilize huyu mama wa CCM huko zanzibar akimkufuru Mungu wa Mbinguni. Amekufa lini?
=====
View attachment 3154587
Zawadi saleh Makame alitoa kauli hiyo Oktoba 3, 2020, ambapo mauti yalimkuta katika hospitali ya Mnazi Mmoja, Unguja Novemba 18, 2020.
Sijapiga kitu chochote na wala situmii kileo chochote kile.Umepiga cha wapi mwamba?
Mungu anayetumia vitisho ili ajulikane yupo, Ni Mungu mdhaifu, mchovu na mjinga sana.Usiku sikilizia, umekwisha😂😂😂😂😂
Kupinga dini hakuleti shida,tabu inaanza kwenye kumpinga MunguHata mimi nikifa watasema sababu kuu ni kupinga dini .
Mimi niko tofauti kidogo, siamini dini ila namaamini Mungu yupo ...Kupinga dini hakuleti shida,tabu inaanza kwenye kumpinga Mungu
Makamba aliposema wazuri hawafi uliunga mkono kauli yake.Kwani kifo ni adhabu? Na je wanaokufa huku wanamtukuza Mungu wao wamekosea nini?.
Siungi mkono kufuru, lakini kifo hakihusiani na makosa au mema uliyofanya hiyo ni hatma ya binadam.
Punguza kuropokaMakamba aliposema wazuri hawafi uliunga mkono kauli yake.
kwamba ameaga dunia kwasabb ya makasiriko yako dhidi ya maoni yake wakati akiwa hai?Kufuru inawezekana kabisa Mungu sometimes huwa anazijibu mapema. msikilize huyu mama wa CCM huko zanzibar akimkufuru Mungu wa Mbinguni. Amekufa lini?
=====
View attachment 3154587
Zawadi saleh Makame alitoa kauli hiyo Oktoba 3, 2020, ambapo mauti yalimkuta katika hospitali ya Mnazi Mmoja, Unguja Novemba 18, 2020.