Kumbukizi: Kipanya aibuka na Hayati Dkt. Magufuli

Ina maana Jiwe alikomba kila kitu?
Unaweza kusema pia Toto linakula tu halishibi na halinyamazi au alipewa bila kitu Yote yanaingia.

Ukumbuke mitanzania tunapenda makeleleee, kumlilia mtu mmoja atufanyie kila kitu.
 
Unaweza kusema pia Toto linakula tu halishibi na halinyamazi au alipewa bila kitu Yote yanaingia.

Ukumbuke mitanzania tunapenda makeleleee, kumlilia mtu mmoja atufanyie kila kitu.
Nashukuru kwa mchango mzuri mkuu ila hapo kwa neno MITANZANIA nafikiri umeteleza kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…