Kumbukizi: Kipanya aibuka na Hayati Dkt. Magufuli

Kumbukizi: Kipanya aibuka na Hayati Dkt. Magufuli

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
😂 😂 😂
😂 😂 😂
😂 😂
😂 😂
😂 😂
😂

Inachekesha hiyo. Kipanya naye!
 
Hapa kwenye picha naona kuna meza, juu yake kuna chupa ya maziwa ya mtoto kama iko tupu hivi na kijiko kiko juu ya sahani tupu huku baba mwenye miwani na komwe lake lisilo na masikhara nahisi ni The late President huyu kama sijakosea, amepakata mtoto kama vile mtoto anapiga sana kelele huku The late President anavuja jasho, nahisi ni kutokana na kumbembeleza sana mtoto huku pana alama ya mshangao anamshangaa mtoto na alama ya kuuliza anajiuliza swali kwanini anachofanya hakimnyamazishi mtoto..

Uelewa wangu
Naamini mtoto ni mgonjwa na The late President anaamini mtoto ana njaa, baada ya kumaliza kumlisha ndio anagundua haikua njaa kuna jambo jingine, anajiuliza ni nini sasa?
 
Hapa kwenye picha naona kuna meza, juu yake kuna chupa ya maziwa ya mtoto kama iko tupu hivi na kijiko kiko juu ya sahani tupu huku baba mwenye miwani na komwe lake lisilo na masikhara nahisi ni The late President huyu kama sijakosea, amepakata mtoto kama vile mtoto anapiga sana kelele huku The late President anavuja jasho, nahisi ni kutokana na kumbembeleza sana mtoto huku pana alama ya mshangao anamshangaa mtoto na alama ya kuuliza anajiuliza swali kwanini anachofanya hakimnyamazishi mtoto..

Uelewa wangu
Naamini mtoto ni mgonjwa na The late President anaamini mtoto ana njaa, baada ya kumaliza kumlisha ndio anagundua haikua njaa kuna jambo jingine, anajiuliza ni nini sasa?
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom