Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Baada ya Msiba wa Dada Kuisha ataonekana Dodoma ..Geita si shwari tena kwa Maficho.
 
Covid 19 si mchezo..haichagui..

Mkutano wake wa kwanza na vyombo vya usalama wengi tuligundua kitu..

Kikohozi chake kabla hajaletewa glass ya maji..

Kikohozi wakati anaapishwa Waziri wa Katiba..

Mbio za kwenda Madagascar kuchukua juice.. Ni kwa ajili ya chattle sababu anaona aibu kuweka wazi..

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.. Covid 19 si ugonjwa wa aibu..Sema tu ukweli.
🤔🤔
 
Back
Top Bottom