Covid 19 si mchezo..haichagui..
Mkutano wake wa kwanza na vyombo vya usalama wengi tuligundua kitu..
Kikohozi chake kabla hajaletewa glass ya maji..
Kikohozi wakati anaapishwa Waziri wa Katiba..
Mbio za kwenda Madagascar kuchukua juice.. Ni kwa ajili ya chattle sababu anaona aibu kuweka wazi..
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.. Covid 19 si ugonjwa wa aibu..Sema tu ukweli.