Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile Range ameificha au kairudisha?
Lisharudishwa....Ile Range ameificha au kairudisha?
gheresha tu huyu, wameiba sana tena sana, anataka asifuatiliwe ionekane hana kitu
Sawa
Ogopa sana umasikini na Ukimwi ni magonjwa mabaya sana kwenye akiliHii picha ya kitambo tangu akiwa RC.
Jidanganye tu!! Huyo alikuwa na chumba cha mahela nyumbani kwake alikuwa na tabia asubuhi akiamka kuna mlinzi wake fulani mdogo wetu alikuwa kazoeana nae sana alikuwa anamiliki crown Athlete mpya kabisa basi kukikucha tu DAB anatoa mihela chumbani jamaa akajaze mafuta full tank then arudi..Cha ajabu sasa DAB ujue alikuwa anafanya nini na gari hiyo anapiga drift eneo lile lile kwa fujo kinoma na kesho jamaa akija kazini tena kazi ni ileile
Punguzaga chai. Yani mtu anajaza full tank ili apige drift hapo hapo?Jidanganye tu!! Huyo alikuwa na chumba cha mahela nyumbani kwake alikuwa na tabia asubuhi akiamka kuna mlinzi wake fulani mdogo wetu alikuwa kazoeana nae sana alikuwa anamiliki crown Athlete mpya kabisa basi kukikucha tu DAB anatoa mihela chumbani jamaa akajaze mafuta full tank then arudi..Cha ajabu sasa DAB ujue alikuwa anafanya nini na gari hiyo anapiga drift eneo lile lile kwa fujo kinoma na kesho jamaa akija kazini tena kazi ni ileile
Why Vegas is so popular?Kupanda pikipiki haimaanishi huyu hana kitu
Fikiria tangu apewe cheo amepiga ngapi
Ina maana zimeisha au kuna mtu anaweza kunyang'anya
Hawa wamepiga hela ndefu sana ambazo kuisha labda waende Las Vegas
Ambapo sidhani kama atapata visa
Sa hiv akienda mkoani kwao anatembelea Alphard nyeusi tii imepigwa tinted hadi kweny tairi.
Ni kweli hela anayo sana tu, maana aliwapora wahindi kama hana akili nzuri. Lkn hana raha hata kidogoHuyu mwamba pesa ako nayo bado sema akili anazo ndo mana umeona hajionyeshi kama zamani.