KUMBUKIZI: Mtu aliyekuwa na raha zaidi Duniani huyu hapa!

KUMBUKIZI: Mtu aliyekuwa na raha zaidi Duniani huyu hapa!

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
1670760702556.jpg


Maisha bwana! Acha tu.
 
Kupanda pikipiki haimaanishi huyu hana kitu

Fikiria tangu apewe cheo amepiga ngapi
Ina maana zimeisha au kuna mtu anaweza kunyang'anya
Hawa wamepiga hela ndefu sana ambazo kuisha labda waende Las Vegas
Ambapo sidhani kama atapata visa
 
Hii picha ya kitambo tangu akiwa RC.
 
Jidanganye tu!! Huyo alikuwa na chumba cha mahela nyumbani kwake alikuwa na tabia asubuhi akiamka kuna mlinzi wake fulani mdogo wetu alikuwa kazoeana nae sana alikuwa anamiliki crown Athlete mpya kabisa basi kukikucha tu DAB anatoa mihela chumbani jamaa akajaze mafuta full tank then arudi..Cha ajabu sasa DAB ujue alikuwa anafanya nini na gari hiyo anapiga drift eneo lile lile kwa fujo kinoma na kesho jamaa akija kazini tena kazi ni ileile
 
Jidanganye tu!! Huyo alikuwa na chumba cha mahela nyumbani kwake alikuwa na tabia asubuhi akiamka kuna mlinzi wake fulani mdogo wetu alikuwa kazoeana nae sana alikuwa anamiliki crown Athlete mpya kabisa basi kukikucha tu DAB anatoa mihela chumbani jamaa akajaze mafuta full tank then arudi..Cha ajabu sasa DAB ujue alikuwa anafanya nini na gari hiyo anapiga drift eneo lile lile kwa fujo kinoma na kesho jamaa akija kazini tena kazi ni ileile
Punguzaga chai. Yani mtu anajaza full tank ili apige drift hapo hapo?
 
Ndo serikali ya CCM bhana,angekuwa cdm angeshaswekwa ndani kitambo
 
Kupanda pikipiki haimaanishi huyu hana kitu

Fikiria tangu apewe cheo amepiga ngapi
Ina maana zimeisha au kuna mtu anaweza kunyang'anya
Hawa wamepiga hela ndefu sana ambazo kuisha labda waende Las Vegas
Ambapo sidhani kama atapata visa
Why Vegas is so popular?


Las Vegas is an internationally renowned major resort city, known primarily for its gambling, shopping, fine dining, entertainment, and nightlife.
 
Sa hiv akienda mkoani kwao anatembelea Alphard nyeusi tii imepigwa tinted hadi kweny tairi.

Mwaka huu mwanzoni mwanzoni alinunua huo mchuma huo unaitwa usinishike utanichafua.

Huyu mwamba pesa ako nayo bado sema akili anazo ndo mana umeona hajionyeshi kama zamani.
 
Back
Top Bottom