Kumbukizi: Naoa next month, naomba usikose kufika harusini

Kumbukizi: Naoa next month, naomba usikose kufika harusini

Inakuaga tu kwa mind za wazazi kua kabila fulani lipo hivi , lingine vile....nimewakilisha tu wakinamama baadhi wenye hako katabia na vile unavyoweza hata kuharibu future ya binti yako kwa misimamo isiyo na mantiki, yapo kwa familia brooo
Wewe umeolewa?
 
"...ulienda"??!! past tense.

Leo jioni hii Saa 4:22 PM uko salon unajiandaa kwenda harusini.

-Kaveli-
Hahahaha....harusini tulienda, the whole story ni kumbukizi bhana [emoji23]
 
Ukisoma na nyuzi zangu zingine utaelewa, it's the way I communicate , I can't slay...we Soma content mengine sio muhimu sana mpenzi
Anyway, I know you well. Im the one you've written about. I'm thobias as you named me in your thread. For sure ninaoa lakini still moyo una maumivu ya kuwa rejected na wewe Just Nana. What I beg from you, hata nikioa tuwe tunapiga show tu hadi uzeeni. Najua huwezi kukataa kwakuwa unanipenda pia.

Ngoja nitoke online maana huyu new girlfriend ananinyemelea afumanie nachat na nani. Ntakucheki Love 😍🥰😘
 
Halafu bwana Thobias ameshakua rafiki wa kudumu[emoji847][emoji847][emoji847]...tunaachaje kwenda kucheza amapiano jamani
 
Anyway, I know you well. Im the one you've written about. I'm thobias as you named me in your thread. For sure ninaoa lakini still moyo una maumivu ya kuwa rejected na wewe Just Nana. What I beg from you, hata nikioa tuwe tunapiga show tu hadi uzeeni. Najua huwezi kukataa kwakuwa unanipenda pia.

Ngoja nitoke online maana huyu new girlfriend ananinyemelea afumanie nachat na nani. Ntakucheki Love [emoji7][emoji3059][emoji8]
Hahahahaha...bwana Thoby kashaoa na ubwabwa tushakula bhana
 
Am a writter , a young one so don't take this story serious...it's just an idea ingawa kuna kapart ka maisha ya chuo na mazingira yana uhalisia ...the rest ni story like any other...
 
Back
Top Bottom