Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu hajui hayo, hana shukran..kama aliweza kumtukana mbowe alimkaliza miezi 3 nairobi huku akimtawazisha hakuona umuhimu huo. Raha ya mama yeye anajeshi. Lissu akitaka kuleta kama alivyomfanyia mbowe ataishia kama Dr slaa, dhamana itazuiliwa kwa usalama wake.Hio ndio tofauti kati ya mbowe na mamaRais Samia amtaka Tundu Lissu wakazungumze!View attachment 3217396
Mbowe aka Ustaadh Abubakar 😂Lissu hajui hayo, hana shukran..kama aliweza kumtukana mbowe alimkaliza miezi 3 nairobi huku akimtawazisha hakuona umuhimu huo. Raha ya mama yeye anajeshi. Lissu akitaka kuleta kama alivyomfanyia mbowe ataishia kama Dr slaa, dhamana itazuiliwa kwa usalama wake.Hio ndio tofauti kati ya mbowe na mama
Waislam kwa ubwabwa wakiristo kwa sembe?Mbowe aka Ustaadh Abubakar 😂
Waislamu Kwa ubwabwa 😄😄😄
Tukiwaambia tz kuna maiti nyingi zinazotembea mojawapo ni hii iliyotapika maneno haya wakati wa chakulaLissu hajui hayo, hana shukran..kama aliweza kumtukana mbowe alimkaliza miezi 3 nairobi huku akimtawazisha hakuona umuhimu huo. Raha ya mama yeye anajeshi. Lissu akitaka kuleta kama alivyomfanyia mbowe ataishia kama Dr slaa, dhamana itazuiliwa kwa usalama wake.Hio ndio tofauti kati ya mbowe na mama
😂😂😂Waislam kwa ubwabwa wakiristo kwa sembe?
Waislam sio maiti, maana washawahi kuandamanaTukiwaambia tz kuna maiti nyingi zinazotembea mojawapo ni hii iliyotapika maneno haya wakati wa chakula
Asali ikiwa tamu sana atalamba tu!Je Tundu Lissu atalambishwa asali?Je Atakubali au atakataa?
Politics is a struggle for power. Na lengo kubwa la chama chochote cha siasa ni kuongoza Nchi/Serikali. Tundu Lisu anataka kuongoza Nchi kama Rais, je mama atakuwa tayali kuongea na kukubaliana na Tundu Lisu kihusu hilo? 🤣🤣🤣
Waislam sio maiti, maana washawahi kuandamana
Pumbav mnavyopenda ubwabwa kulima kwenyewe hamlimi kazi kukaa kwenye vijiwe vya kahawa mkiwa na kanzu kuu kuu na vibakuli vilivyochanika.Waislam kwa ubwabwa wakiristo kwa sembe?
AmesahauUndugu huwa hauruhusiwi kwenye kazi...
Hiyo inaleta conflict of interest...
Hii ya kitambo sana.