Kumbukizi: Umuhimu wa kuzingatia mambo ya msingi mchakato wa katiba mpya

Kumbukizi: Umuhimu wa kuzingatia mambo ya msingi mchakato wa katiba mpya

wisemann

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
251
Reaction score
197
Tahadhari tisubiri wanaitaka mabadiliko wawe wengi ni hatari!!
Nitumie nafasi kuwaonya viongozi wa CCM watumie busara hii kuweka vizuri mambo muhimu kama; katiba, muungano, tumehuru. Nachelea kusema katiba yenye maoni yaliyoratibiwa na tume ya warioba wasiyapuuze.

 
Back
Top Bottom