The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Hapo tunajifunza kwamba; njaa haina baunsa. Wewe hujaona hata Chongolo amekubali kuwa Mkuu wa Mkoa! Kutoka kuwa Katibu Mkuu wa chama!
Aliweka historia kuwa Katibu mkuu kiongozi alieongoza Kwa muda mfupi zaidi afrikaMei 29, 2018, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, aliteuliwa na CCM kuwa Katibu Mkuu cha chama hicho akichukua nafasi ya Abdulrahman Kinana ambaye aliomba kujiuzulu.
Baada ya uteuzi huo, Dkt. Bashiru alitoa kauli kuwa nafasi hiyo ni ya kwanza na ya mwisho kwake na hatakubali kuteuliwa katika nafasi yoyote baada ya uteuzi huo.
Februari 26, 2021, Hayati Rais Magufuli, alimteua Dkt. Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na siku hiyo hiyo aliteuliwa kuwa Balozi. Hata hivyo Machi 21, 2021 aliondolewa katika nafasi hiyo na kuteuliwa kuwa Mbunge.
Hatuna wasomi Tz tuna waganga njaa pekee na washirikinaNilimdharau sana kwa jinsi alivyokuwa anajipendejeza kwa Magufuli, na kuiga tabia za Magufuli. Kama Kuna baadhi ya wasomi walijadhalilisha kipindi Cha Magufuli ni yeye na profesor Kabudi. Ni kama Magufuli alikuja Ili unafiki wao ukae hadharani.
Mfumo mbovu tuliona naoWahuni tu..... Tanzania hii tumeona mawaziri Wakuu wanaenda kuwa Wabunge wa kawaida tena hapa unazungumzia akina Msuya, Macecela, na Lowasa... Sasa ije iwe kwa hawa mabwanawadogo. Alikuwa anatingisha kiberiti tu au madaraka yalipanda kichwani kama akina Badhite.
Sawa sawa..na angeonekana ni tatizo..wangemshughulikia..Angekataa ubunge wa kuteuliwa angeishi maisha magumu sana hapa duniani .
Hawa wabunge hawanaga kikokotoo? Maana sisikii wakilalamikia
Wazee wa kusoma na kuandikaKikotoo kitoke wapi Kwa Hawa majizi ya kura? Shwaini!