Dr Ismaily
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 289
- 552
Tometoka mbali sana aiseee
Nakumbuka nilivyokuwa sekondari ilikuwa nikifanya kosa sichapwi kijinga jinga! Nilikuwa najitetea kivyovyote vile nisiguswe hahaahaaaa.
Walimu waligundua hiko kitu, daaah!! basi nikiitwatu staff sipewi chance ya kujitetea ni mikwaju kwanza halafu ndio kujitetea!!
Daaah wengine walienda mbali sana, eti nijiteteee kwa Kiingereza ilikuwa kimbembe!
Je! Wewe unakumbuka nini enzi hizo.
Nakumbuka nilivyokuwa sekondari ilikuwa nikifanya kosa sichapwi kijinga jinga! Nilikuwa najitetea kivyovyote vile nisiguswe hahaahaaaa.
Walimu waligundua hiko kitu, daaah!! basi nikiitwatu staff sipewi chance ya kujitetea ni mikwaju kwanza halafu ndio kujitetea!!
Daaah wengine walienda mbali sana, eti nijiteteee kwa Kiingereza ilikuwa kimbembe!
Je! Wewe unakumbuka nini enzi hizo.