Ebwanae, unaambiwa enzi hizo tulisoma na watoto wa vigogo wakubwa nchi hii sina ruhusa ya kuwataja vigogo hao ambao walikuwa wabunge, wakuu wa mikoa, wilaya, wafanyabiasha wenye asili ya asia na wengine wengi. Tofauti na siku hizi vigogo watoto wao hawasomi shule hizo