Kumbukumbu:Leo ni Miaka Mi5 Tangua Kifo cha Lucky Dube

Kumbukumbu:Leo ni Miaka Mi5 Tangua Kifo cha Lucky Dube

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Lucky Philip Dube (3 Agosti, 1964 - 18 Oktoba, 2007) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka Afrika Kusini. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya Kizulu, Kiingereza na Kiafrikaans katika kipindi cha miaka 25-na alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutoka Afrika Kusini ambaye aliuza albamu nyingi Lucky Dube aliuawa katika kitongoji cha Rosettenville mjini Johannesburg jioni ya tarehe 18 Oktoba 2007, muda mfupi baada kuwapeleka watoto wake wawili kati ya wote saba kando ya nyumba ya mjomba wao,Aliacha mjane Zanele na watoto wake saba.

Wauaji walikua wanataka kupora gari lake la aina ya Chrysler 300C
CHRYSLER 1.JPG
chryler2.JPG
 
R.I.P Lucky Dube....
 

Attachments

  • 8189_215250985273086_428472871_n.jpg
    8189_215250985273086_428472871_n.jpg
    23.2 KB · Views: 175
Back
Top Bottom