Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,976
SINTOSAHAU:
Wayne Rooney anatukumbushia tukio la kupata kadi nyekundu dhidi ya Ureno katika kombe la Dunia 2006[emoji471]
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
[emoji860] “Mchezo ulikua unaendelea vizuri. Gafla, mapema kwenye kipindi cha pili, ikaja kadi nyekundu. Ilibidi niwe vile kwa refa ili anipe 'free kick'. Ilikua ni faulo ya wazi kabisa nilichezewa, beki wa zamani wa Chelsea Ricardo Carvalho alikua ananivuta na kunisukuma na Petit akaja akitokea upande mwingine.
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
“Elizondo hakufanya chochote na nilimkanyaga Carvalho kimya kimya mguuni kwa hasira — ni moja ya nyakati ambazo huwezi kufikiria sawasawa juu ya maamuzi unayoyafanya kama mchezaji. Kwa kitendo kile nilijua tu! ni kadi nyekundu.
Na kule kwenye vyumba vya kubadilishia nguo nilimalizia mchezo ule kwa kuutazama katika luninga [emoji342], huku nikiwaza: ‘kama tutashinda hii mechi, nitakua nimesimamishwa kucheza nusu fainali ya World Cup na hata fainali yenyewe, na kama tukipoteza basi kosa ni langu na taifa zima litanigeukia mimi’.
Nilikua na mawazo yenye maumivu na ya kustaajabu kuwai kuyapata katika maisha yangu ya soka.
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
“Nikiwa nafuatilia mchezo kutokea vyumba vya kubadilishia nguo, nilikua na simu yangu mkononi na nilikua napokea meseji nyingi sana kuhusu Ronaldo Kiukweli, Alipomkimbilia Elizondo (refa) kumshawishi nipewe kadi nyekundu ili nitoke, nilimsukuma kwa hasira . Wakati yale yanatokea, nilikua siamini kile alichokua anakifanya. Lakini, Nilipokaa peke yangu kule kwenye vyumba vya kubadilishia nguo nilipata nafasi ya kutuliza hasira na kufikiria kwa umakini juu ya tukio lile.
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
“Nilijiweka ndani ya viatu vya Ronaldo kwa dakika kadhaa, kisha nilijiuliza maswali yafuatayo. Je ningefanya kama alivyofanya yeye? Bila shaka ingekua hivyo. Je ningemzonga refa ili kuhakikisha naye anatolewa nje kwa kadi? Kama alistahili kadi nyekundu, na endapo kama kadi hiyo ingetusaidia nasi tushinde — Ndio! , hamna tena swali.
Pia nikakumbuka kitu: ‘Alafu, Nilijaribu kumsabaabishia apate kadi ya njano kipindi cha kwanza kwa kujirusha’. Na kwa ukalimu (#Ronaldo) alinikonyeza tu! wakati ule natoka nje ya uwanja kwa hasira akinikumbusha kuwa kuwa ni moja ya mchezo, ingawa sikuona hayo yote yakitokea, hivyo nikawa mpole. Baadae nilimfuata ili kuzungumza nae kwenye 'tunnel' kabla hajaingia chumba cha kubadilishia nguo. Niliona ni vizuri kuzungumza nae wakati mambo bado yakiwa bado madogo (kabla ya propaganda za media) na ilikua vyema kufanya hivyo tukiwa tunaonana uso kwa uso na si kwa njia ya simu. Ronaldo alinitazama kwa jicho la hisia ya kuomba msamaha, na wakati huo mawazo yangu kichwani yametawala juu ya ukaribu wetu ndani ya kikosi cha (Manchester United). Nikamwambia sina tatizo nawewe. Endelea kufurahia mashindano na kila lakheri.Tutaonana baada ya wiki chache — na uje tupambane ili tushinde ligi kuu (EPL) .” [emoji1022]
#KUMBUKUMBU
Sent using Jamii Forums mobile app
Wayne Rooney anatukumbushia tukio la kupata kadi nyekundu dhidi ya Ureno katika kombe la Dunia 2006[emoji471]
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
[emoji860] “Mchezo ulikua unaendelea vizuri. Gafla, mapema kwenye kipindi cha pili, ikaja kadi nyekundu. Ilibidi niwe vile kwa refa ili anipe 'free kick'. Ilikua ni faulo ya wazi kabisa nilichezewa, beki wa zamani wa Chelsea Ricardo Carvalho alikua ananivuta na kunisukuma na Petit akaja akitokea upande mwingine.
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
“Elizondo hakufanya chochote na nilimkanyaga Carvalho kimya kimya mguuni kwa hasira — ni moja ya nyakati ambazo huwezi kufikiria sawasawa juu ya maamuzi unayoyafanya kama mchezaji. Kwa kitendo kile nilijua tu! ni kadi nyekundu.
Na kule kwenye vyumba vya kubadilishia nguo nilimalizia mchezo ule kwa kuutazama katika luninga [emoji342], huku nikiwaza: ‘kama tutashinda hii mechi, nitakua nimesimamishwa kucheza nusu fainali ya World Cup na hata fainali yenyewe, na kama tukipoteza basi kosa ni langu na taifa zima litanigeukia mimi’.
Nilikua na mawazo yenye maumivu na ya kustaajabu kuwai kuyapata katika maisha yangu ya soka.
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
“Nikiwa nafuatilia mchezo kutokea vyumba vya kubadilishia nguo, nilikua na simu yangu mkononi na nilikua napokea meseji nyingi sana kuhusu Ronaldo Kiukweli, Alipomkimbilia Elizondo (refa) kumshawishi nipewe kadi nyekundu ili nitoke, nilimsukuma kwa hasira . Wakati yale yanatokea, nilikua siamini kile alichokua anakifanya. Lakini, Nilipokaa peke yangu kule kwenye vyumba vya kubadilishia nguo nilipata nafasi ya kutuliza hasira na kufikiria kwa umakini juu ya tukio lile.
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
“Nilijiweka ndani ya viatu vya Ronaldo kwa dakika kadhaa, kisha nilijiuliza maswali yafuatayo. Je ningefanya kama alivyofanya yeye? Bila shaka ingekua hivyo. Je ningemzonga refa ili kuhakikisha naye anatolewa nje kwa kadi? Kama alistahili kadi nyekundu, na endapo kama kadi hiyo ingetusaidia nasi tushinde — Ndio! , hamna tena swali.
Pia nikakumbuka kitu: ‘Alafu, Nilijaribu kumsabaabishia apate kadi ya njano kipindi cha kwanza kwa kujirusha’. Na kwa ukalimu (#Ronaldo) alinikonyeza tu! wakati ule natoka nje ya uwanja kwa hasira akinikumbusha kuwa kuwa ni moja ya mchezo, ingawa sikuona hayo yote yakitokea, hivyo nikawa mpole. Baadae nilimfuata ili kuzungumza nae kwenye 'tunnel' kabla hajaingia chumba cha kubadilishia nguo. Niliona ni vizuri kuzungumza nae wakati mambo bado yakiwa bado madogo (kabla ya propaganda za media) na ilikua vyema kufanya hivyo tukiwa tunaonana uso kwa uso na si kwa njia ya simu. Ronaldo alinitazama kwa jicho la hisia ya kuomba msamaha, na wakati huo mawazo yangu kichwani yametawala juu ya ukaribu wetu ndani ya kikosi cha (Manchester United). Nikamwambia sina tatizo nawewe. Endelea kufurahia mashindano na kila lakheri.Tutaonana baada ya wiki chache — na uje tupambane ili tushinde ligi kuu (EPL) .” [emoji1022]
#KUMBUKUMBU
Sent using Jamii Forums mobile app