Ahmed Jongo,Sued Mwinyi Ramadhani,Juma Nkamia,Jesse John
Ahmed Jongo hakuwa akinifurahisha akitangaza
Hata marehemu Malongo hakunifurahisha,alikuwa mapepe sana.
Waliokuwa na sauti nzuri ya kutangazia mpira ni Nkamia,Jesse John,Sued Mwinyi ,Marehemu Iddi Rashidi Mchata na hata Bwigane.
Duh hata miye sikusikia hilo!si alikuwa Mke wa Maulidi Kitenge?R.I.PAloo kumbe sport lady Halima mchuka alishasogea kwa Mola,RIP sport lady.
Wafungaji waliitwa KLM kwa ufupi,kocha wa Yanga alikuwa marehemu Syllarsaid Mziray r.i.pRajabu Rashid anakamata mpira ndani penati box,sijajua ni kwanini!,refa anasema ile ni penati,maguu 12 ya mtu mzima,na mpigaji wa ile ni Hamis Gaga (Gagarino)...na anapiga palee,anakosa penati ilee Gagarino,anapiga mkwaju mkali sana na unagonga mtambaa panya na kurudi katikato ya kiwanja...daah long time..hii mechi Yebo walitufunga 3-1,wafungaji ni Makumbi,Kipese, la siba ni Chumila,...marehemu Double R alishika mpira kwa kuzani refa amepuliza filimbi kumbe siyo...pale katikati kulikuwa na fulu udambwidambwi...Leny/Gagarino/RR/Isa Athumani/China...mechi ambayo Kipese alimtesa sana babu Raphael Poul (LP)...
Hapana unamaanisha Eshe MDuh hata miye sikusikia hilo!si alikuwa Mke wa Maulidi Kitenge?R.I.P
Full kilauriEzekiel Malongo alikua mtangazaji bora wa karne hapa Tanzania. Sijui nini kilimkuta huyu jamaa.. Shetani alaaniwe!