Jerry santonga
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 645
- 562
Habari ndugu zangu..
Katika miaka ya 2000 ndio nilianza kumsikia huyu dada machachari repota wa redio one.
Aisee kumbe alifariki kuna mdau mmoja ndio ameniambia
Nilidhani aliacha hii tasnia
Katika miaka ya 2000 ndio nilianza kumsikia huyu dada machachari repota wa redio one.
Aisee kumbe alifariki kuna mdau mmoja ndio ameniambia
Nilidhani aliacha hii tasnia