KUMBUKUMBU SAWA: Wanachama wa CHADEMA wanapomchangia mhalifu ni kuunga mkono uhalifu!!!

KUMBUKUMBU SAWA: Wanachama wa CHADEMA wanapomchangia mhalifu ni kuunga mkono uhalifu!!!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Naona umefufukka tangu Jiwe afe. Mungu fundi alilitwaa liuaji

(sina jaha ya kujibu hoja yako mana wwewe ni Muuaji)
 
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
1-Mandela alipewa jina gaidi na Boers/wakoloni SA.Je,alikuwa kweli ni gaidi wa kukaa/kuishi big brothers house miaka 27?
2-Nyerere & the coy walinyanyaswa na wakoloni lakini hawakulilia kama wewe na Tanganyika ikapata uhuru.
3-Mahatma Ghandi walimsulubu hadi akaamua asivae nguo kwa kutwezwa utu wake na nchi yake.Wananchi wakamuunga mkono.India ikaepuka monsoon.
Unasemaje we mjinga?
Na hao unaowaita CHADEMA,umewahesabu walikuwa wangapi kwenye michango?
 
1-Mandela alipewa jina gaidi na Boers/wakoloni SA.Je,alikuwa kweli ni gaidi wa kukaa/kuishi big brothers house miaka 27?
2-Nyerere & the coy walinyanyaswa na wakoloni lakini hawakulilia kama wewe na Tanganyika ikapata uhuru.
3-Mahatma Ghandi walimsulubu hadi akaamua asivae nguo kwa kutwezwa utu wake na nchi yake.Wananchi wakamuunga mkono.India ikaepuka monsoon.
Unasemaje we mjinga?
Na hao unaowaita CHADEMA,umewahesabu walikuwa wangapi kwenye michango?
Hebu chukua upande kikamilifu...maana response yako inaashiria wewe mwenyewe umepata kigugumizi.

Unamlinganisha yule kijana na Mandela kwa muktadha upi?
Mandela hakuwahi kuibuka na kuchoma picha za makaburu...Mandela alisimama na hoja.
 
Hebu chukua upande kikamilifu...maana response yako inaashiria wewe mwenyewe umepata kigugumizi.

Unamlinganisha yule kijana na Mandela kwa muktadha upi?
Mandela hakuwahi kuibuka na kuchoma picha za makaburu...Mandela alisimama na hoja.
Hoja huwa inaongea yenyewe.Haitekenywi.Kijana amewakilisha wengi kwamba hawataki ujingaujinga.
 
Kweli jina linaumba aisee.
Wewe jingalao ccm kwelikweli.
Issue ya cdm kuamua kuwachangia hao vijana wanaoshikwa Kwa hizo kesi ni hasira za kukosekana standard kwenye Sheria za nchii hii.

viongozi na makada wa ccm wakifanya makosa Sheria zinalala azifanyi kazi Hila wananchi na wapinzani kosa si kosa kesho nyundo 5 jera au faini million 7.

Refer manyara yule mh alikuwa upande wakatiba kabisa unampiga chupa kijana wa watu mtaroni. Alafu DPP anakuchekea anakuambia aunakesi ya msingi ya kujibu kaendelee kuwapiga vyiupa vijana mitaroni.👊

Yule Ras nae anafira watoto wa watu.
Na yule wa mafia nae je? Hivo hivo.
Na yule kijana wenu wa uvccm ngara je? nae yupo kwenye genge la watekaji ,huku kote sheria haipo Hila kwa mwananchi na upinzani TU aaaah.

Acha watu wachange wawatetee wanyonge wanakandamizwa tu
 
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!


Serikali kupitia mahakama inapompa Hukumu ya kulipa fine ni ku support uhalifu?????
 
Kweli jina linaumba aisee.
Wewe jingalao ccm kwelikweli.
Issue ya cdm kuamua kuwachangia hao vijana wanaoshikwa Kwa hizo kesi ni hasira za kukosekana standard kwenye Sheria za nchii hii.

viongozi na makada wa ccm wakifanya makosa Sheria zinalala azifanyi kazi Hila wananchi na wapinzani kosa si kosa kesho nyundo 5 jera au faini million 7.

Refer manyara yule mh alikuwa upande wakatiba kabisa unampiga chupa kijana wa watu mtaroni. Alafu DPP anakuchekea anakuambia aunakesi ya msingi ya kujibu kaendelee kuwapiga vyiupa vijana mitaroni.👊

Yule Ras nae anafira watoto wa watu.
Na yule wa mafia nae je? Hivo hivo.
Na yule kijana wenu wa uvccm ngara je? nae yupo kwenye genge la watekaji ,huku kote sheria haipo Hila kwa mwananchi na upinzani TU aaaah.

Acha watu wachange wawatetee wanyonge wanakandamizwa tu
Atajidai hajui hayo.@jingalao aendelee kuwa mjinga wao na apuuzwe.
 
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Unawazungumziaje hawa wanaomchangia mwizi wa kura kuchukua fomu ya kugombea?
 
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hatuungi mkono jambo kwa hisia, ili tuseme ni uhalifu weka hapa kifungu cha sheria kilichothibitisha kuwa ni mhalifu, si jambo geni kwa hakimu kumuhukumu mtu kwa shinikizo la kisiasa. Pamoja na kumchangia atoke jela lakini pia anakatiwa rufaa dhidi ya kifungo kisicho na kifungu cha sheria.
Nilidhani ungefanya jambo jema kukemea uhalifu alioufanya mkuu wa mkoa wa Mwanza wa kujihusisha na kuficha uhalifu wa ulawiti ambao wewe unauunga mkono kwa kuuficha uhalifu huo.
 
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Utamaduni wao walituambia lowassa ni mwizi namba moja wakampa nafasi ya kugombea uraisi hawa watu wala si wakupoteza muda kuwajadili!
 
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Na kuna bodaboda pia wamemchangia mhalifu pesa ya form. Hawa nao wanaunga mkono uhalifu
 
Katika siasa lazima uwe makini sana na matendo na mwenendo wa wanachama chako lakini pia uwe mwepesi kujisafisha na kuweka kumbukumbu sawa pale ambapo jambo lillilotokea lina uhalifu au sifa chafu ndani yake.

Yupo mtuhumiwa aliyehukumiwa hivi karibuni kwa kosa la kumkashifu Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye alipewa adhabu ya kifungo jela au kulipa faini ya milioni 5.

Kilichojiri baada ya hukumu ni mwanachama wa CDM ameongoza tena kwa bashasha kukusanya fedha ya kumlipia faini mshtakiwa huyo aliyetiwa hatiani.

Hoja ya Kwanza:
CDM inasupport wahalifu wa mitandaoni.

Hoja ya Pili
CDM ina sera na mwenendo rasmi wa kuwakingia kifua wahalifu ...hapa tukirejea matukio kadhaa ya kusympathise na wahalifu mbalimbali waliowahi kukamatwa siku za nyuma.

Hoja ya tatu
Ukifuatilia clips za muhalifu huyu utagundua kuwa zipo baadhi ya clip zilizoashiria yupo kwenye mkakati wa kumtoa madarakani Mhe.Rais ikiwezekana kwa kumdhuru.
Hapa ndio msingi wa thread yangu unajikita ...je UONGOZI WA CDM UNAENDESHA MPANGO HARAMU WA KUMDHURU MHE.RAIS?

USHAURI SASA
Vyombo vya Usalama visikalie kimya suala hili ...ni vyema likafuatiliwa kwa kina ili kujua aliye nyuma ya huyu psycho ni nani?

CDM Itoe tamko rasmi la kulaani matendo ya muhalifu huyu na iachane na utaratibu wa kussuport wahalifu.

Wanaharakati wa haki za binadamu wakemee vikali uhalifu huu wa mtandaoni.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mkamateni mwenyekiti wa vijana wa CCM Ngara aliyeahidi kuwapoteza watu akitamka hadharani ndipo uje tena!
 
Back
Top Bottom