Hili ni tukio lilitokea mwaka 1984 Uingereza. Lilikuwa jaribio la kumteka nyara na kumrudisha Nigeria Umaru Diko aliyekuwa waziri katika serikali ya Nigeria na ambaye alikuwa amekimbilia uhamishioni Uingereza.
Ubalozi wa Nigeria kwa kushirikiana na majasusi wa Israel walimteka nyara Umaru Diko na kumpakia kwenye box kubwa kwa madhumuni ya kumsafirisha kwa ndege ndani ya hilo sanduku kubwa likiwa na hadhi ya "Diplomatic Bag"
Kwa wale wanzangu wenye kuimanya lugha ya "Malkia" jaribu Google "THE DIKO AFFAIR." Ni kisa cha kusisimua sana.
Ubalozi wa Nigeria kwa kushirikiana na majasusi wa Israel walimteka nyara Umaru Diko na kumpakia kwenye box kubwa kwa madhumuni ya kumsafirisha kwa ndege ndani ya hilo sanduku kubwa likiwa na hadhi ya "Diplomatic Bag"
Kwa wale wanzangu wenye kuimanya lugha ya "Malkia" jaribu Google "THE DIKO AFFAIR." Ni kisa cha kusisimua sana.