geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,223
Hahaha! Juzi kati nilipita kijiwe fulani wakaka wakawa wanajadili hili jambo... Yaani unaniambia kabisaaaa utakumbuka nini uliambiwa mda huo??? Hapo huwezi tumia akili ata kidogo... Adrenaline ndo inakupa muongozo, usimame au ukimbie!
Kjna siku tuliku darasani na usista duu wote kuna mtu akapiga kelele kengeee!!! Daah, sekunde moja mbona nyingi mno!!! Nilijikuta nipo juu kabisa ya dirisha nimejikunyata. Sikumbuki hadi leo nilipandaje kule juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo.Mwenzako ata huyo simba nimemuonea kwenye maonesho!!! Alikua ndani ya uzio ila alipounguruma nilitimua mbio hizo... Usain Bolt haingii ndani.
Sasa ningekutana nae ana kwa ana nadhanu matobo yote kwenye mwili wangu yangekua kwenye work mode!!!
Kwa akili yako kengw hawezi kupanda juu ya dirisha?Hahaha! Juzi kati nilipita kijiwe fulani wakaka wakawa wanajadili hili jambo... Yaani unaniambia kabisaaaa utakumbuka nini uliambiwa mda huo??? Hapo huwezi tumia akili ata kidogo... Adrenaline ndo inakupa muongozo, usimame au ukimbie!
Kjna siku tuliku darasani na usista duu wote kuna mtu akapiga kelele kengeee!!! Daah, sekunde moja mbona nyingi mno!!! Nilijikuta nipo juu kabisa ya dirisha nimejikunyata. Sikumbuki hadi leo nilipandaje kule juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaaaa kama nakuona ulivyojikunyata
Poa Saint!!!! Za wewe?Mambo.
Ata sikufikiria hayo...Kwa akili yako kengw hawezi kupanda juu ya dirisha?
Natakabnijitoe jf kwa sababu yako.Poa Saint!!!! Za wewe?
'[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] usijitoe jamani.. Ukitoka JF itakuafa'Natakabnijitoe jf kwa sababu yako.
Sababu unaijua sana.
Niishie hapo
Poa.'[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] usijitoe jamani.. Ukitoka JF itakuafa'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka niseme hivo ama? Jitoe tu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Poa.
Nijitoe nisisjitoe haina effect yoyote hapa Jf.
Nilitaka kujua kuwa una roho mbaya au huna?
Dawa yako kenge. Mimi mm nitakupa kenge wangu
Kwetu hakuna Simba