geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,223
Hahaha! Juzi kati nilipita kijiwe fulani wakaka wakawa wanajadili hili jambo... Yaani unaniambia kabisaaaa utakumbuka nini uliambiwa mda huo??? Hapo huwezi tumia akili ata kidogo... Adrenaline ndo inakupa muongozo, usimame au ukimbie!
Kjna siku tuliku darasani na usista duu wote kuna mtu akapiga kelele kengeee!!! Daah, sekunde moja mbona nyingi mno!!! Nilijikuta nipo juu kabisa ya dirisha nimejikunyata. Sikumbuki hadi leo nilipandaje kule juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaaaa kama nakuona ulivyojikunyata