Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie wa bongo tulibaki kua mashabiki wa kila jambo hata vita tunakua na upande vya kwetu vimesha tushinda kila jambo tuko nyuma.Je, Kim Jong Un atasimama upande wa Putin? Unaonekana kuna uswahiba kati yao.
Video ikirejea Siku ambayo Rais wa Urusi Vladimir Putin alivyokutana na Rais wa Korea kusini Kim Jong Un.
Nyeto tena? 😁😁😁Nikifiria kua Putin na Kim huwa wanakunya na kupiga nyeto kama mimi, huwa nawaona wa kawaida tu.
Eeh mkuu hawana muda wa kunjunjana na wake zao hao, kitu cha chap ni nyeto tu.Nyeto tena? 😁😁😁
Kwani wao sio binadamu mkuu, nao wana hisia kama wewe tu.Dah Watu mmepinda aiseee Kumbe hufanya hivyo na wao.
Acha mambo ya ajabu yaani mavi ya michembe na mafenesi wapi na wapiNikifiria kua Putin na Kim huwa wanakunya na kupiga nyeto kama mimi,
Kwani yana utofauti gani mkuu?? Au wao huwa ni meusi au mekundu kama damu??Acha mambo ya ajabu yaani mavi ya michembe na mafenesi wapi na wapi
Sie wa bongo tulibaki kua mashabiki wa kila jambo hata vita tunakua na upande vya kwetu vimesha tushinda kila jambo tuko nyuma.
Yaweza kuwa ni wa kawaida lakini si kweli kwamba wapo kama wewe!!! Kila mtu yupo tofauti sana! Tupo unique! Hata kama wanakunya kama wewe lakini kuna tofauti kubwa kati yako na yake, ndiyo maana yeye ni Rais wa Urusi na pengine wewe ni kibaka au mpiga punyeto wa Tanzania! Yawezekana anawaza vita wakati wewe unawaza matako ya mwanamke fulani (si unajua matanzania tunavyopenda ngono!!) Kwa kifupi wewe siyo yeye na hamtakaa mfanane! Kama alama za vistari kwenye viganja vya mama yako aliyekuzaa ni tofauti na vya kwako unadhani utafanana na Putin? Tafadhali kula maharage, kojoa ulale!Nikifiria kua Putin na Kim huwa wanakunya na kupiga nyeto kama mimi, huwa nawaona wa kawaida tu.