Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #21
Hatari sanaMbowe alianguka baada ya aidha kulewa au kufarakana na Joyce Mukya, siasa zilichomekwa tu ili kuua soo.
Hata Mkapa aliwahi kupigana na mke wake Ikulu, asubuhi wananchi wakashangaa Rais ana PoP.
Wakati wa Magu, Janet alilazwa Muhimbili hivyo hatujui aidha aliugua kweli au alipigwa.
Wanasiasa ni wasenge
Matukio ya Mkapa na Magufuli sio justification ya Mbowe.Mbowe alianguka baada ya aidha kulewa au kufarakana na Joyce Mukya, siasa zilichomekwa tu ili kuua soo.
Hata Mkapa aliwahi kupigana na mke wake Ikulu, asubuhi wananchi wakashangaa Rais ana PoP.
Wakati wa Magu, Janet alilazwa Muhimbili hivyo hatujui aidha aliugua kweli au alipigwa.
Wanasiasa ni wasenge
Nipe summary huu ugoro ulioandika maana sijaelewa hata.Sasa wewe unatumika kwa condom?maana haya mahaba sidhani huwa unakumbusha kuwa ivaliwe condom kabla....😂
Heri ya mchumia tumbo kuliko mchumia "matako!" Shibe ikisumbua matako yanapata tabu .Chadema kimeundwa na kundi la wachumia tumbo, waongo na wahuni. Kama viongozi wa juu kabisa wa chama kama vile Mbowe, Lisu, mch Msigwa ni waongo wa kishamba hivi, je utawezaje kuwaamini viongozi wao wa chini kama kina Yericho Nyerere na wengineo? Hawa jamaa wanasiasa za kipuuzi na kijinga sana. Kwa bahati nzuri wanafanikiwaga kuwadanganya wajinga ambao hawana upeo na siasa. Sisi wengine toka miaka 90 tunafatilia siasa ndio maana mtu akivunjika mguu kwenye vijiwe vya gongo na kuja kuipakazia serikali hatukubaliani nae.
View attachment 1844572
View attachment 1844573
View attachment 1844574
View attachment 1844575
View attachment 1844576
View attachment 1844578
Tena walitumwa na NdugaiHivi mpaka leo hamjajua tu kuwa waliompiga ni wale vijana wa Swaswa Kundi lake Silinde wakishirikiana na Lijualikali? Acheni kujifanya hamjui hilo!
Eti ni heshima kwa Mungu kumzomea & kumtukana LowassaChadema kimeundwa na kundi la wachumia tumbo, waongo na wahuni. Kama viongozi wa juu kabisa wa chama kama vile Mbowe, Lisu, mch Msigwa ni waongo wa kishamba hivi, je utawezaje kuwaamini viongozi wao wa chini kama kina Yericho Nyerere na wengineo?
Hawa jamaa wanasiasa za kipuuzi na kijinga sana. Kwa bahati nzuri wanafanikiwaga kuwadanganya wajinga ambao hawana upeo na siasa. Sisi wengine toka miaka 90 tunafatilia siasa ndio maana mtu akivunjika mguu kwenye vijiwe vya gongo na kuja kuipakazia serikali hatukubaliani nae.
View attachment 1844572
View attachment 1844573
View attachment 1844574
View attachment 1844575
View attachment 1844576
View attachment 1844578
Sasa wewe unatumika kwa condom?maana haya mahaba sidhani huwa unakumbusha kuwa ivaliwe condom kabla....😂Nipe summary huu ugoro ulioandika maana sijaelewa hata.
Swali zuri. Hapa inabidi kuanzia wapi kufuatilia jambo hili?Lissu alipigwa mchana kweupe tena kwenye ulinzi mkali, leo mbona hakuna kitu chochote?
Wapiga risasi wanajulikana vizuri snSwali zuri. Hapa inabidi kuanzia wapi kufuatilia jambo hili?
Hawa tuwataje na wakafunguliwe mashtaka. Tusiwachekee kabisa . Hata hapa majina na ushahidi viwekwe kisha washughulikiwe.Wapiga risasi wanajulikana vizuri sn
Nani atamshughulikia Ndugai na wakati amejiwekea kinga ya kutoshitakiwa?Hawa tuwataje na wakafunguliwe mashtaka. Tusiwachekee kabisa . Hata hapa majina na ushahidi viwekwe kisha washughulikiwe.
Hakujifunza kwa lililotokea kwa Tundu Lissu?
Lile lilikuwa genge la Chato na haki itapatikana tuu!Sijui. Mimi huwa napenda kuyaangalia mambo kwa upeo wa tofauti kidogo.
Mbowe ni kiongozi mkubwa tu kitaifa kwa CHADEMA. Najiuliza hiyo kuvamiwa kwake na kupigwa miguu lengo lilikuwa nini? Hospitali huwa mtu anayepigwa kwa magongo au kitu kikubwa mwilini majeraha yake yanafahamika. Kitaalamu kabisa.
Kwa Mbowe haikuwa hivyo nini kilichotokea kiuhalisia? Hawa watu waliweza kuingia mpaka kwa Mbowe bila CCTV kuwa detect ilikuaje? Lakini inakuaje Mbowe anakosa CCTV pale kwake? Hakujifunza kwa lililotokea kwa Tundu Lissu?
Tuseme alivamiwa akiwa nje. Je, Mbowe hana Mlinzi hata mmoja? Aliposhushwa kwenye gari au alikuwa ana drive mwenyewe?alikuwa all alone kwa wakati wote huo?
Napata maswali mengi kuliko majibu. Mimi nina tatizo la kutoacha jambo kiporo. Nlikuwa najiuliza Serikali kama ndo ilikuwa imetuma watu basi ilikuwa inafanya mambo kipuuzi kabisa. Yaani mnatuma watu wakampige miguu Mbowe? Ili iweje?
Tunajua wale ambao walitumwa kwa Tundu Lissu walitumwa ili wamuue. Walitumwa na nani...hatujui. na mimi binafsi nashangaa Serikali mpaka leo imeona haina haja ya kufuatilia jambo hilo.
Je ni kweli Mbowe alivamiwa na hao mabaradhuli wakampiga piga tu miguuni? Ili iweje sasa? Lakini naye Mbowe anaishi peke yake sehemu hiyo tena bila Ulinzi? Mi kuna mambo huwa tu nakaa nawaza. Nasema hiii...
Hizi siasa za Kitanzania. Usanii vyama vyote vinafanya.yaani hakuna wa kumwamini. Inafikia hatua hata ukweli tunaanza kuu doubt.
Mambo kama haya mara nyingi sisi ambao tumebaki na akili zetu ndo tunawaza. Lakini wafuasi wa Chama na Mtu. Hawawezi pata muda huu wa kuwaza. Wataishia kutukana tu
1. Peopleeeeeeeeeeeee's ! Power.
2. Kidumu chama cha mapinduzi! Kidumuuuuuuuu.
Wananchi tu waamue wenyewe.Nani atamshughulikia Ndugai na wakati amejiwekea kinga ya kutoshitakiwa?
Wewe utakuwa na kinyesi usingeweza kuelewa kilichoandikwa. Kubwa jinga.Nmesoma nikaishia kwenye huu mstari.
Mataga mnakuwaga na funza kichwani.