Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Sentensi ya mwisho ni [emoji817][emoji3581]Mbowe alianguka baada ya aidha kulewa au kufarakana na Joyce Mukya, siasa zilichomekwa tu ili kuua soo.
Hata Mkapa aliwahi kupigana na mke wake Ikulu, asubuhi wananchi wakashangaa Rais ana PoP.
Wakati wa Magu, Janet alilazwa Muhimbili hivyo hatujui aidha aliugua kweli au alipigwa.
Wanasiasa ni wasenge
Na tukio la Mbowe siyo justification ya matukio ya Mkapa na Magu.Matukio ya Mkapa na Magufuli sio justification ya Mbowe.
Mbowe alilewa ndo maana akaona aibu kufuatlia ,wapumbufu Kama ninyi ndo aina ya Vijana anaowapenda mbowe maana yake ni Kama nyumbu tu hawajuj hata kuhojiNa tukio la Mbowe siyo justification ya matukio ya Mkapa na Magu.
1)Uchunguzi huru wa kimataifa.Swali zuri. Hapa inabidi kuanzia wapi kufuatilia jambo hili?
Tukio la kushambuliwa kwa lissu ni somo tosha, kutokuelewa ni makusudi.Nakumbuka palikuwepo na uchunguzi wa jeshi la polisi kuhusu hilo tukio, polisi wakatoa waliyoiita ripoti ya awali wakimshutumu Mbowe, then wakatuahidi watakuja na ripoti ya pili yakufungia mjadala.
Baada ya hapo ndio kimya, sikuwahi kuiona wala kuisoma popote hiyo ripoti ya pili toka jeshi la polisi.
Nadhani Chadema baada ya kusubiri muda mrefu, wangeamua sasa waje na ushahidi wao kumaliza hii kadhia, au labda wameona haina umuhimu tena, sasa hivi tunajenga nchi chini ya awamu mpya isiyotaka mambo ya kupigana na kutenguana miguu.
Hawa wananchi wajinga ambao hata haki zao hawazijui?Wananchi tu waamue wenyewe.
Watu wamejiwekea kinga mzeeRPC wa wakati huo, Muroto, alielezea vizuri jinsi wavamizi walivyokuwa wanafanya na maneno yao wakati wa tukio.
Nani aliyekuwa na uwezo wa kuchunguza zaidi ya polisi?
Bado najiuliza swali hili kuhusiana na tukio hilo;
Je Kamanda wa polisi alitoa taarifa za uongo? Kwa nini hakukanusha maelezo yake ya awali?
Sijui. Mimi huwa napenda kuyaangalia mambo kwa upeo wa tofauti kidogo.
Mbowe ni kiongozi mkubwa tu kitaifa kwa CHADEMA. Najiuliza hiyo kuvamiwa kwake na kupigwa miguu lengo lilikuwa nini? Hospitali huwa mtu anayepigwa kwa magongo au kitu kikubwa mwilini majeraha yake yanafahamika. Kitaalamu kabisa.
Kwa Mbowe haikuwa hivyo nini kilichotokea kiuhalisia? Hawa watu waliweza kuingia mpaka kwa Mbowe bila CCTV kuwa detect ilikuaje? Lakini inakuaje Mbowe anakosa CCTV pale kwake? Hakujifunza kwa lililotokea kwa Tundu Lissu?
Tuseme alivamiwa akiwa nje. Je, Mbowe hana Mlinzi hata mmoja? Aliposhushwa kwenye gari au alikuwa ana drive mwenyewe?alikuwa all alone kwa wakati wote huo?
Napata maswali mengi kuliko majibu. Mimi nina tatizo la kutoacha jambo kiporo. Nlikuwa najiuliza Serikali kama ndo ilikuwa imetuma watu basi ilikuwa inafanya mambo kipuuzi kabisa. Yaani mnatuma watu wakampige miguu Mbowe? Ili iweje?
Tunajua wale ambao walitumwa kwa Tundu Lissu walitumwa ili wamuue. Walitumwa na nani...hatujui. na mimi binafsi nashangaa Serikali mpaka leo imeona haina haja ya kufuatilia jambo hilo.
Je ni kweli Mbowe alivamiwa na hao mabaradhuli wakampiga piga tu miguuni? Ili iweje sasa? Lakini naye Mbowe anaishi peke yake sehemu hiyo tena bila Ulinzi? Mi kuna mambo huwa tu nakaa nawaza. Nasema hiii...
Hizi siasa za Kitanzania. Usanii vyama vyote vinafanya.yaani hakuna wa kumwamini. Inafikia hatua hata ukweli tunaanza kuu doubt.
Mambo kama haya mara nyingi sisi ambao tumebaki na akili zetu ndo tunawaza. Lakini wafuasi wa Chama na Mtu. Hawawezi pata muda huu wa kuwaza. Wataishia kutukana tu
1. Peopleeeeeeeeeeeee's ! Power.
2. Kidumu chama cha mapinduzi! Kidumuuuuuuuu.
Never trust politicians. Ni watu waovu sana.UKITAZAMA HIZO PICHA HAPO NA UKATAFAKARI KWA AKILI KUBWA UTAFAHA WANASIASA NI WATU WA AINA GANI
•Wapo kwa masilahi yao binafsi zaidi.
•Hawapo na wewe mtanzania halisia.
•Wakisha tibua hali ya hewa WAO hao ulaya.
::::TUWE MAKINI KWA SASA TUSIBURUZWE KAMA MAPUMBAVU YASIYO NA AKILI.
Nadhani uchunguzi huru hasa wa vyombo vya kimataifa vilivyobobea kwenye masuala hayo ndiyo itakuwa suluhisho.Swali langu litabaki Hivi - Hivi Kuna Serikali yeyote duniani itatuma mtu anayehitaji kupiga risasi zaidi ya mbili ili kumwuua mtu wamtakaye kufa? Na Maswali ya nyongeza ndugu Spika, je watahitaji kumfuata mahali Pa wazi kutenda Hilo? Je kwa karne Hii yenye mercenaries and darkweb ambako unalipa tu hela hata Dollar 300,000 na kutaja jina tu na picha, Serikali gani au mtu gani mwenye hela zake atashindwa kumaliza Kazi ya aina hiyo? Utajificha wapi?
Lakini kwa katiba yetu, uchaguzi 2015, risasi 2017, uchaguzi mwingine 2020, kulikuwa na Nini hasa tishio la kisiasa mpaka huyo Bwana aonekane Lulu na to make one bold enough to take that much risk?
So long as mwanamume anasimamaaaaaaa, kuuawa Ni overdose ya viagra Ni Rahisi sana.
Kuna wakati tunapenda sana kujifariji kwa maneno mengi Lakini ukitulia unaona upuuzi mtupu.
Kujiwekea kinga hakubadili uwezo wetu wa kufikiri na kuchanganua mambo.Watu wamejiwekea kinga mzee
Wana siasa za kujinga wakati unatumia mpaka pesa kununua na kuhonga wanachama wao kisha unawapa ubunge,UDC, nk?Chadema kimeundwa na kundi la wachumia tumbo, waongo na wahuni. Kama viongozi wa juu kabisa wa chama kama vile Mbowe, Lisu, mch Msigwa ni waongo wa kishamba hivi, je utawezaje kuwaamini viongozi wao wa chini kama kina Yericho Nyerere na wengineo?
Hawa jamaa wanasiasa za kipuuzi na kijinga sana. Kwa bahati nzuri wanafanikiwaga kuwadanganya wajinga ambao hawana upeo na siasa. Sisi wengine toka miaka 90 tunafatilia siasa ndio maana mtu akivunjika mguu kwenye vijiwe vya gongo na kuja kuipakazia serikali hatukubaliani nae.
View attachment 1844572
View attachment 1844573
View attachment 1844574
View attachment 1844575
View attachment 1844576
View attachment 1844578