NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Dah, namkumbuka sana huyu Legend,
binafsi huwa namzimia sana, he was a hero, a true revolutionist!!!!!!!
Nakumbuka baadhi ya nyimbo zake kama,
Three little birds,
zion train,
I shot the sheriff,
Waiting in vain,
who the cap fit,
lol...just few to mention
Dunia leo inaadhimisha miaka 30 ya kicho cha mwanamapinduzi Robert Nesta Marley.
Music wake ulichangia kuleta hisia za kimapinduzi. Mchano wake uliheshimika sana hadi kupewa nishani ya amani na umoja wa mataifa .
Nakumbuka baadhi ya nyimbo zake za kimapinduzi kama:
1. Revolution
2. Babylon Chant
3. Redemption Song
4.Africa Unite
Ninamkumbuka kwa mchango wake mkubwa wa kimapinduzi.
R.I.P
Dah, namkumbuka sana huyu Legend,
binafsi huwa namzimia sana, he was a hero, a true revolutionist!!!!!!!
Nakumbuka baadhi ya nyimbo zake kama,
Three little birds,
zion train,
I shot the sheriff,
Waiting in vain,
who the cap fit,
lol...just few to mention
Kiongozi.Alalala long alalala long lololilololong,
Girl i want to make you sweat..... dah jamaa alikuwa anatisha kwa tungo. RIP