Ninakushukuru mkuu kwa kutukumbusha hili na kutunza hizi rekodi muhimu za watanzania wenzetu walioitangaza nchi yetu katika fani hii ya muziki ,ninategemea mwana JF mwingine atakuja na kumbukumbu kuhusiana na wale wote waliotangulia mbele ya haki,maana walituelimisha na kutuburudisha mfano Mbaraka M.;Shaaban Dede;Maalim Ngurumo,TX,na wapiga magitaa maarufu kipindi hicho kama Mulenga etc etc,yeah tumeishi maisha yetu.