Juni 5-7/2017 majonzi makubwa yalitawala kwa kuondokewa na mwanamziki ambaye hakika alitoa mchango mkubwa katika sanaa.
Huyu ni Halila Tongolanga. Nadhani wengi wetu mtakumbuka kibao chake ambacho kilivuma sana "Kila mtu ave na kwao".
Hakika kibao hicho hata leo kikipigwa wengi wetu hutulia na kupata burudani yake. Wimbo ule una ujumbe kuntu ambao hasa kizazi cha leo ni vyema wakaupata ujumbe ule.
.Mungu azidi kumupumzisha Halila Tongolanga mahali pema peponi. Daima tutaendelea kumkumbuka ndugu yetu huyu.
Huyu ni Halila Tongolanga. Nadhani wengi wetu mtakumbuka kibao chake ambacho kilivuma sana "Kila mtu ave na kwao".
Hakika kibao hicho hata leo kikipigwa wengi wetu hutulia na kupata burudani yake. Wimbo ule una ujumbe kuntu ambao hasa kizazi cha leo ni vyema wakaupata ujumbe ule.
.Mungu azidi kumupumzisha Halila Tongolanga mahali pema peponi. Daima tutaendelea kumkumbuka ndugu yetu huyu.