Kumbukumbu ya kifo cha Hayati Magufuli kwa upande wangu

Pole Sana man!

Tatizo lako ni la kimfumo Zaidi kuliko hata marehemu!

Nasikitika Sana The state hawakuonyesha meno yao pale UPINZANI unaponyongwa na chama Tawala!

Wangetoa SAUTI ya utetezi wa UPINZANI hata Marais wangenyuti kutesa WATU!
Uko sahihi.....system
 
Yule bwana aliumiza watu wengi sana.

Imagine mpaka wafungwa wanashangilia…!
 
Kamanda lazima ukumbuke kwamba hakuna mahali popote ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…