Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Si uje na historia mbadala? Ikiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
SURA YA PILI

MASHIRIKA YA KIJASUSI

MOSSAD ‖ ISRAELI

Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha jinsi Ibrahim alivyoitwa na Mwenyezi Mungu ili kumtumikia. Eneo hilo la Palestina ambalo zamani lilijulikana kama Kaanani, ndipo chimbuko la dini tatu kuu zenye msingi wa Ibrahim zilibuka. Dini hizo ni Uyahudi, Ukristu na baadaye Uislamu. Dini ya Wayahudi yenye misingi ya Biblia ya Agano la Kale, likianza na vitabu vitano vya Musa: Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu la Torati. Ukristu ukianzia misingi kwenye Agano la Kale hadi Agano Jipya na Uislamu ukishika vitabu vinne vya Tourat ya Nabii Musa (a.s), Zabur ya Nabii Dawood (a.s), Injili ya Issa bin Mariam (a.s.) au Yesu na Kurani ya Muhamad (s.a.w).

Ibrahim, mwenyeji wa Uru wa Ulkadayo (Mesopotamia), leo Iraq, wa kabila la Waebrania anahama kutoka Iraq na kwenda Haran, Syria, na baadaye kuingia Kaanani (Uyahudi), ambapo Mwenyezi Mungu anamtokea katika njozi na kumwapia Ibrahimu kuwa, ardhi yote hiyo amepewa yeye na uzao wake na kuahidiwa Baraka. Yaani, kubarikiwa kwa kila atakaye mbariki na kwamba jamaa zote za dunia zitajibarikia. Pamoja na ahadi hiyo, Mungu anamwambia nabii Ibrahimu kuwa uzao wake utakwenda utumwani, Misri, kwa miaka mia nne (400) hadi kizazi cha nne, ndipo watakapookolewa na kupandishwa Kaanani.

Mizizi ya ugomvi huo inaanzia mnamo Karne ya Kumi na Tisa (19), wakati wa vuguvugu la utaifa la Uzayuni na Uarabu.

.....................,...........
Kutoka kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Sura ya Kwanza, ukurasa 12.

https://www.amazon.com/gp/aw/d/9976...ds=yericko&dpPl=1&dpID=51wy-+exFYL&ref=plSrch
 
SURA YA PILI

MASHIRIKA YA KIJASUSI

MOSSAD ‖ ISRAELI

Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha jinsi Ibrahim alivyoitwa na Mwenyezi Mungu ili kumtumikia. Eneo hilo la Palestina ambalo zamani lilijulikana kama Kaanani, ndipo chimbuko la dini tatu kuu zenye msingi wa Ibrahim zilibuka. Dini hizo ni Uyahudi, Ukristu na baadaye Uislamu. Dini ya Wayahudi yenye misingi ya Biblia ya Agano la Kale, likianza na vitabu vitano vya Musa: Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu la Torati. Ukristu ukianzia misingi kwenye Agano la Kale hadi Agano Jipya na Uislamu ukishika vitabu vinne vya Tourat ya Nabii Musa (a.s), Zabur ya Nabii Dawood (a.s), Injili ya Issa bin Mariam (a.s.) au Yesu na Kurani ya Muhamad (s.a.w).

Ibrahim, mwenyeji wa Uru wa Ulkadayo (Mesopotamia), leo Iraq, wa kabila la Waebrania anahama kutoka Iraq na kwenda Haran, Syria, na baadaye kuingia Kaanani (Uyahudi), ambapo Mwenyezi Mungu anamtokea katika njozi na kumwapia Ibrahimu kuwa, ardhi yote hiyo amepewa yeye na uzao wake na kuahidiwa Baraka. Yaani, kubarikiwa kwa kila atakaye mbariki na kwamba jamaa zote za dunia zitajibarikia. Pamoja na ahadi hiyo, Mungu anamwambia nabii Ibrahimu kuwa uzao wake utakwenda utumwani, Misri, kwa miaka mia nne (400) hadi kizazi cha nne, ndipo watakapookolewa na kupandishwa Kaanani.

Mizizi ya ugomvi huo inaanzia mnamo Karne ya Kumi na Tisa (19), wakati wa vuguvugu la utaifa la Uzayuni na Uarabu.

.....................,...........
Kutoka kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Sura ya Kwanza, ukurasa 12.

https://www.amazon.com/gp/aw/d/9976993609/ref=mp_s_a_1_2?ie=UTF8&qid=1502563366&sr=8-2&pi=AC_SX236_SY340_FMwebp_QL65&keywords=yericko&dpPl=1&dpID=51wy-+exFYL&ref=plSrch
Huoni haya?
 
SURA YA PILI

MASHIRIKA YA KIJASUSI

MOSSAD ‖ ISRAELI

Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha jinsi Ibrahim alivyoitwa na Mwenyezi Mungu ili kumtumikia. Eneo hilo la Palestina ambalo zamani lilijulikana kama Kaanani, ndipo chimbuko la dini tatu kuu zenye msingi wa Ibrahim zilibuka. Dini hizo ni Uyahudi, Ukristu na baadaye Uislamu. Dini ya Wayahudi yenye misingi ya Biblia ya Agano la Kale, likianza na vitabu vitano vya Musa: Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu la Torati. Ukristu ukianzia misingi kwenye Agano la Kale hadi Agano Jipya na Uislamu ukishika vitabu vinne vya Tourat ya Nabii Musa (a.s), Zabur ya Nabii Dawood (a.s), Injili ya Issa bin Mariam (a.s.) au Yesu na Kurani ya Muhamad (s.a.w).

Ibrahim, mwenyeji wa Uru wa Ulkadayo (Mesopotamia), leo Iraq, wa kabila la Waebrania anahama kutoka Iraq na kwenda Haran, Syria, na baadaye kuingia Kaanani (Uyahudi), ambapo Mwenyezi Mungu anamtokea katika njozi na kumwapia Ibrahimu kuwa, ardhi yote hiyo amepewa yeye na uzao wake na kuahidiwa Baraka. Yaani, kubarikiwa kwa kila atakaye mbariki na kwamba jamaa zote za dunia zitajibarikia. Pamoja na ahadi hiyo, Mungu anamwambia nabii Ibrahimu kuwa uzao wake utakwenda utumwani, Misri, kwa miaka mia nne (400) hadi kizazi cha nne, ndipo watakapookolewa na kupandishwa Kaanani.

Mizizi ya ugomvi huo inaanzia mnamo Karne ya Kumi na Tisa (19), wakati wa vuguvugu la utaifa la Uzayuni na Uarabu.

.....................,...........
Kutoka kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Sura ya Kwanza, ukurasa 12.

https://www.amazon.com/gp/aw/d/9976993609/ref=mp_s_a_1_2?ie=UTF8&qid=1502563366&sr=8-2&pi=AC_SX236_SY340_FMwebp_QL65&keywords=yericko&dpPl=1&dpID=51wy-+exFYL&ref=plSrch
Huoni haya?
 
Naam, Ilm bila khiyana.
Maalim Faiza,
Huwa nasikitika sana ninaposoma hapa kejeli, kashfa na lugha za kudhalilisha
kuwa TAA kilikuwa chama cha kadha wa kadhaa.

Ndugu zetu hawajali kama hawa sie ni baba na babu zetu na tunaandika yale
waliyofanya wala hatukufanya hivi kutafuta ugomvi.

Mimi sikutegemea kuwa kitabu hiki cha maisha ya Abdul Sykes kuelezea vipi
alipokea kijiti kutoka kwa baba yake katika TAA hadi kufikia yeye na mdogo
wake kuasisi TANU kitakuja kuchoma nyoyo za wengi kiasi hiki.

Kuna kitu nadhani wengi hawakijui.

Wakati Abdul na Ally wako ndani ya chumba cha mkutano kuasisi TANU mdogo
wao Abbas yeye alikuwa nje ya chumba cha mkutano akitumwa kazi ndogo ndogo
za chama.

Abbas alikuwa kijana mdogo wa miaka 24 na ndiye aliyetumwa kumleta mpiga
picha wa ile picha maarufu ya waasisi wa TANU.

mS8NNGgi5Y1DtaPH3q7QC2Bk229-eMuNWaHQCnA9q0B960by74_L05La_FFtmZ0TeGpSFR2m6O3yCxf2AjeOTPWzpDPXdnP0EAXVjMeVUpisL2G3hIfyFbnT1lN-PvSwye7EMtEW5OLaucZ7Ubfgs_Pxf3YyrCxpN5ucunMZRmXDyaY5Oi8s6YXZlKVIAZbrMuILVt6Dgf1lRC0vA2-Ef587h4LTqY2Vrt5ZzyauEv38XIBown2sJyAPxSttBe4SwOir9ReDxa6HzLFCQvF_RKCo-l29rIvurEtk3_aTh6cB0BMj1MbDJmt8IoSJaw8XHWxFKaArZOI-aIifKNJaSmmyiPXoQR0k16yoOurf8voPILtzQPy9GQp2YCG9pC07BI8FxKv-2lQsamdWgrTVDKKGUrMzoOT3X5oS9xFdp2tA287-kXodcv-05tBUIfXLQm9TDdJjmbpqQ6HHeBu46sN0W-F0jd_5uOKKVW__Em1_v8EYfCyW0RztmsHuvzi2idIMVCbNOyt9mMO3gd09Nksz3oudaa5aGazE4-qm0jdYochqDP5ZH7tbpvqm1dz9funz2Ng8Ji0LPd3FcKvobOspZ-ToGy3kToEJ9SjVgYpwr_7xYAeOTw=w473-h629-no

Abbas Sykes
 
SURA YA PILI

MASHIRIKA YA KIJASUSI

MOSSAD ‖ ISRAELI

Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha jinsi Ibrahim alivyoitwa na Mwenyezi Mungu ili kumtumikia. Eneo hilo la Palestina ambalo zamani lilijulikana kama Kaanani, ndipo chimbuko la dini tatu kuu zenye msingi wa Ibrahim zilibuka. Dini hizo ni Uyahudi, Ukristu na baadaye Uislamu. Dini ya Wayahudi yenye misingi ya Biblia ya Agano la Kale, likianza na vitabu vitano vya Musa: Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu la Torati. Ukristu ukianzia misingi kwenye Agano la Kale hadi Agano Jipya na Uislamu ukishika vitabu vinne vya Tourat ya Nabii Musa (a.s), Zabur ya Nabii Dawood (a.s), Injili ya Issa bin Mariam (a.s.) au Yesu na Kurani ya Muhamad (s.a.w).

Ibrahim, mwenyeji wa Uru wa Ulkadayo (Mesopotamia), leo Iraq, wa kabila la Waebrania anahama kutoka Iraq na kwenda Haran, Syria, na baadaye kuingia Kaanani (Uyahudi), ambapo Mwenyezi Mungu anamtokea katika njozi na kumwapia Ibrahimu kuwa, ardhi yote hiyo amepewa yeye na uzao wake na kuahidiwa Baraka. Yaani, kubarikiwa kwa kila atakaye mbariki na kwamba jamaa zote za dunia zitajibarikia. Pamoja na ahadi hiyo, Mungu anamwambia nabii Ibrahimu kuwa uzao wake utakwenda utumwani, Misri, kwa miaka mia nne (400) hadi kizazi cha nne, ndipo watakapookolewa na kupandishwa Kaanani.

Mizizi ya ugomvi huo inaanzia mnamo Karne ya Kumi na Tisa (19), wakati wa vuguvugu la utaifa la Uzayuni na Uarabu.

.....................,...........
Kutoka kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Sura ya Kwanza, ukurasa 12.

https://www.amazon.com/gp/aw/d/9976993609/ref=mp_s_a_1_2?ie=UTF8&qid=1502563366&sr=8-2&pi=AC_SX236_SY340_FMwebp_QL65&keywords=yericko&dpPl=1&dpID=51wy-+exFYL&ref=plSrch
Yericko,
Chini hapo Maalim Faiza kakuuliza, ''Huoni haya?''
Hiki hakiwezi kuwa kitabu.

Hakiwezi kuwa kitabu kwa sababu hayo uliyoandika hayatoki katika
kichwa chako.

Umekaa chini ukanyanyambua huku na kule.

Mimi nikilijua hili kwa muda mrefu ndiyo maana nikikuuliza sana nani,
''publisher,'' wa kitabu chako?

Ili kitabu kiitwe kitabu kinahitaji kiwe na kitu kipya.
Kazi ya kunakili haiwezi kuchapwa kitabu.
 
Teh teh teh!
Muandishi anakana maandishi yake daah!
 
Si uje na historia mbadala? Ikiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
Maalim Faiza,
Ndipo aliposema Maalim Haruna kuwa mjinga anahitaji kusomeshwa.

Anamkata jina Ally Sykes kwe kibri cha kijinga.
''Ndicho alichosema, ''Ally.''

Nimeweka vipande viwili kutoka mswada wake, ''Under the Shadow of
British Colonialism.''

Hicho ndicho alichosema, ''Ally.''
Naongeza kidogo kipande kingine nacho pia kidogo alichosema, ''Ally,'':

gor_FdPs1rskKeieRC6yNLBvFrqjcFF7RJdW-h-UgrzORroN4XKo41G__XssOinMdVTqmZyNVSf_OqiStKpa5xlZ9xJZRYx_kqPUJdsw4nZqITAo57N0Rn1CrVzicmZcp0VjF11FnWojAryPo35USBTdTJhRZE_11dz5DMsMlww-YrZO6FKb0pgX_4Xw66dmY0SX6BZDDvwGt0euV3lb4iIp-HqZGh8Ta290neSLJxF3CNm9ICqfiXrzMC_ZEHdDCVQNZSYffg7IIOk3j0vw-jtasoUx-0OrJHQIvLfkR_JswNRg_9rvtIkuKpwZV7iFTyoFGewruCxYEruwks7Z-xuv2QJcsSZdNO10pwBmfLnoQMqA5EbFqgnilVTGUoKraa64y1fUFSiHJ-aG8OHiIBVIuBKgz8YaveEkBVc3FSScCDw_RE8qK4O9NuSNEgrqL1TQm1_zGPKOet5hsiL9ccUXrETYjYOwo_TW6cKO36cMBeZ5pSZIJZK5wu4W3k8eUgzhvFeaAZWBFPJOLeTI99Om1Ewqm6DepGV_omg7dGnB0tdSKVTuANAYmxO35-j9saWZKUP2j1G4jd2icYT4kMJdfmwB4_fttWEwm23KeKtijHDKK6jm=w480-h349-no


''I worked under a British lady who was secretary to the Medical Officer in charge of the African section of Arusha Hospital. My reputation had superseded me. Everyone knew about Ally Sykes, son of Kleist Sykes and Nyerere’s friend; agitator and founder member of TANU, the party which wanted to oust the British from Tanganyika. But the European staff was bent into making my life difficult whenever they had the chance.''

Mjinga pia ana haki ya kuingizwa darasani asome.
Elimu bila khiyana.
 
Mag3,

HF-E-j6n6D2pW-h8ANND7lxCGUZH73Fhpokdj2U2guz10UUuq33enwGopPRGbfU8HCP7ZcOmNxS-DYu2x5-G9w9vqeN1Qi-nUydPTJmLDHXRS5Py3_84OP_2iecQyjAYflQuA-tfQEQHjxuJ2g-u9pEPK4ambOrJMcYaSt3LVeEiUl_Vmzi9FR4Tc93Ia6bRAnRaPJaZduvvap83uIisUDG_MLkVDJflrFjbfG52G0QkumZ1Q8RLCfhByBEOZSMLvacusXptB2KzZUZsPAhrME9h_gdQ7j3rtG2ZsdVBVOrbgBhPzNax2ekRbIh04vu7ScoezknEk38PM7QP387nntcrgWcDyiEXt0YQPmsByTOz1rAvCc-6WY0lmImew7xIbgp98ByU2R77IA5nGTGz8u56qfwSP6b2qDXMgh6gTm5q6_htGMMiIpNWtqbNLOCELZGKVMJArxuwYYP0S9ZMKK-ZoOBxgFTNE8p2DBcjtpISFD4AdqyqQg2OxjxjVvoqSJPGzr0cyRCfG_8asDxe6xqXSCz2KmWUg2Ndylw8Pz1Fth1LBc2j5yNsnv-qClIy78x38wD3lCWFVEnKTs3aaibrjebomUxY=w480-h360-no

Mwandishi akizungumza na Mwalimu Maunda Plantan mjukuu wa
Affande Plantan kuhusu historia ya ukoo wake


Nimelijibu mara nyingi hili suala la kama Wazulu walioingia Tanganyika
kama mamluki wa Wajerumani walikuwa Waislam au la kutokana na
majina yao.

Ushahidi upo kuwa waliingia Tanganyika kama Waislam na walikuwapo
ambao walikuwa na majina ya Kiislam lakini hili si muhimu kwa sasa
inabakia ni historia.

Katika waliokuja Tanganyika wakiwa Waislam ni Ali Katini mdogo wake
Sykes Mbuwane.

Huyu alikuwa kipofu na aliingia pamoja na ndugu yake wakiwa chini ya
uongozi wa Herman von Wissman Kamanda wa Majeshi ya Ujerumani
Tanganyika.

Kulikuwa na Ramadhani Mashado Plantan mtoto wa Afande Plantan
huyu aliingia Tanganyika mwaka wa 1905 akiwa na umri wa miaka mitano
na alikuwa Muislam.

Huyu Mashado Plantan ndiye alikuja kuwa na gazeti Zuhra gazeti la pili
kuendeshwa na Mwafrika gazeti la kwanza likiwa ni Kwetu la Erika Fiah.

Kulikuwa na Thomas Saudtz Plantan pia mtoto wa Afande Plantan na
yeye aliingia Tanganyika akiwa Muislam.

Sasa tuje kwa Kleist Sykes ambae ni kizazi cha kwanza Mzulu kuzaliwa
Tanganyika.

Yeye alizaliwa Pangani mwaka wa 1894 na kwa kuwa alizaliwa chini ya
himaya ya Wajerumani baba yake akiwa katika Germany Constabulary ni
Wajerumani ndiyo wakitoa majina na kusajili.

Ndipo Kleist alipopewa hilo jina la Kijerumani lakini jina ambalo alipewa
na baba yake mlezi Affande Plantan ni Abdallah na hili jina lipo katika
kaburi lake pale makaburi ya Kisutu.

cKr0fpa1hL-GMYAi71qVnT1M323ztZODskSncmdAxRtogrpt4TdIN0_N_5mKIeuZQnBQ3HG6eS50waN7OCJBOAEXdFpsySbBIFssoha5jOzaDgObqIvO0AvWNJsjfCZj71D_bpGGXU88SLMkGbI94Ttmbx7XXipoIYQKVi_uUtppfvbnDHMWe0Uk0cH9k7fWReIlW8UOdR5A86YGqIGg-czIla6kMs_qhOLeS9kZVDBNuhEs0yBusTEVEyg9vvUcJnOJH2wmAWw51W9yfQf5lvuEWZhpN2auBT0cmLidZA-73rujNIwPjKvDXBpUhEaCj8bpqAAuba_VyE4lXQRDXN8fH8Fz4cx8s6Srw-DkoBwqMn2YyE_VnO2LQl_a06rQ0vsKO4pMf196wO4Tj9N28iE_cHsYPvHJ8o8LdEsjwFLW53m-rub0hKm_4yJe21wCrKXfJrnzJvQARTi-w5OHANpr60fbtRRyZyYFBuOfaa1re1WHUPi2iujOUuMliv1GfRe83blhP_bXbxGIhXaK48aq-CO8y-zqdzUtpHe4UJp-ornbRpSxRYKBHp_qPze-cg7U6Lgw5oeMF642OHbuaez4zodhMwQzoQ_KBAV5hWn14gM9Sa-aAA=w250-h188-no

Kaburi la Kleist Abdallah Sykes

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa na huu ndiyo ukoloni ulivyokuwa ukifanya
mambo yao katika nchi walizokuwa wakizitawala.

Babu yangu kama alivyokuwa Kleist alizaliwa Tanganyika kutoka baba
aliyeingia nchini kutoka Belgian Congo na kama Kleist walisimama dhidi
ya ukoloni na kuongoza mapambano ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Babu yangu Salum Abdallah alikuwa Mmnanyema kizazi cha kwanza
katika ukoo wetu kuzaliwa Tanganyika, Shirati huko Musoma lilipokuwa
Boma la Wajerumani.

Lakini kabla ya hawa askari wa Kimanyema kuingia Tanganyika tayari kwa
miaka mingi kulikuwa na Wamanyema ambao walikuwa wamehamia kwa
miaka mingi na wakiishi Kigoma na Ujiji.

Nimeweka hapa mchango wa babu yangu wote muuone na nitaurejesha
tena In Shaa Allah kwa yule ambae ulimpita ausome.

Babu zetu hawakuwa Makaburu lau kama baba zao waliingia Tanganyika
kuja kuwasaidia Wajerumani katika vita dhidi ya Chifu Mkwawa na
Abushiri bin Harith wa Pangani.

IMG-20161105-WA0264.jpg


Nadhani nitawashangaza wengi nikiwaambia kuwa Mkwawa jina lake lingine
ni Abdallah.

Babu zetu wakapigana WWI upande wa Wajerumani dhidi ya Waingereza
lakini baba zetu wakapigana upande wa Waingereza dhidi ya Wajerumani
katika WWII.

Haya yote ni matatizo ya ukoloni na sasa imebaki ni historia.

Naona mnahangaishwa sana na kuwa Cecil Matola ndiye muasisi wa African
Asociation akiwa rais.

Matola aifariki mwaka wa 1933 na Kleist 1949 miaka 16 baada ya kifo cha
Matola.

Kleist kaeleza mwenyewe katika mswada alioacha kabla ya kufariki dunia vipi
aliunda African Association akiwa Katibu muasisi.

Mimi nisingependa kulikuza hili jambo lakini ningependa kusema kuwa katika
Waafrika wa wakati wake Kleist alikuwa mwingine kabisa na ukitaka kumjua
msome Daisy Sykes Buruku, ‘'The Townsman: Kleist Sykes,'’ katika Iliffe
(ed) Modern Tanzanians, Nairobi, 1973, uk. 95-114.

Daisy ni mtoto wa Abdul Sykes.

XLs28PdHKgKQudq9hCj_jxugCQbZsC21eO7ORyqQR1WfanEc2qjW-lUhzhcOl4S31OE38rDJO0Y43PP3Chs9n7iyhh9htQLs_cww31Yfs_7HbAsqbylEU2mSNN6QYOfTZeuELdIKqcYbJnxvdHt4wtg-8x6EOy9XRnoauL00tHFnwPicSMlaUQ4ViOQPlIoYXp0pN8cWVRn-aUJdzqvFJ90mztzs4a1hc6zBPBhn1za0I7mZc4PvxMdj-84q-qX0Wms5cF2eZgUs6YsCR53dAxXftodQ_0_wbKCXNenAIc3lKdz58OdTKiqm41WUXM9O7MBN-25pRpqdZM2X5_eGOPteouQ1wP5dbX8byW5-Hx84CsrzpDhbi0hYbtxRfw0Y2qrGw3xV7FaKAZgkl2dzZ5YhT_XKa9-PiV5l2nqE6x_yly17DvrnFspf_-Nh_luXrdFbqKQ2YiziQ0viO4f9l6p0aIFVAyaOOU8owGX2mBdufDOY8XeKl9Gj2J44gHVWeQgxj0OYRlydefYo2EcuEEH2-hNAk_V0nCtLKDckV3LaGTUCjspIUspcHvwQRnAzBPHbX2DCKXKOQW3I_UxoaiHYJMQRwOwwYHQmeGQ_HLiTtRROfNwhXmLZFg=w1119-h630-no

Mwandishi na Daisy Sykes

Ukipenda unaweza pia kumsoma katika Dictionary of African Biography,
Oxford University Press, New York 2011 au Kleist Sykes: Man of Ideas katika,
''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story
of Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' Minerva Press,
London 1998.

Mwisho ningependa kusema kuwa historia hii niliyoandika ndiyo historia ya
Tanganyika katika kupigania uhuru wa Tanganyika na kwa sehemu kubwa
Waislam walikuwa mstari wa mbele.

Sidhani kuandika historia hii ambayo ilipuuzwa ni kupanda chuki.
Mohamed Said: KUTOKA JF: BABU YANGU SALUM ABDALLAH
Sheikh Mohamed Said.
Shukran sana kwa hizi bayana zisizo na kificho kwa kweli yule ambaye atasema apati Ilm atakuwa na husda, najua jicho la husda ni baya sana linakausha mgomba.


Cc Mag3.
 
Je ni Abdul Sykes na wale wazee wenu ndio waliokwenda kwa Nkurumah kukopi katiba au ni Nyerere? Unadhani kwa nini walikwenda kukopi Ghana ilihali hapa unatuambia AA na TAA vilikuwa na katiba? Kwanini isingehuishwa katiba iliyokuwepo tu?

Tumia akili, tukiwaambia AA na TAA vilikuwa vilabu vya gongo muwe mnaelewa...
Huyu ndiyo muandishi wa kitabu.

Teh teh teh JF kuna vituko.
 
Yeriko katika historia ya AA hadi TAA na kufikia TANU hizi ndizo sehemu zilipo nyaraka zake yaani vyanzo vya kupata historia yake.

Kwanza ni Nyaraka za Sykes ambazo hadi leo wenyewe hawajazitoa kwa umma ukiacha kipindi kifupi Abdul Sykes alipokuwa yu hai na akampatia bint yake Daisy mwisho ya miaka ya 1960 ili amuonyeshe John Iliffe wa History Department Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Pili ni Maktaba ya CCM Dodoma.

Tatu Tanzania National Archives (TNA) na,

Nne kwa watu binafsi waliokuwa katika uongozi wa TAA na TANU na wengi wao wameshatangulia mbele ya haki.

Mimi kote huko nimepita na nimegundua mengi kiasi nimeandika paper, "Lost Documents."

Hii paper naitafuta maktaba sijaipata ilichapwa na Africa Events miaka ya 1980.

Hebu nifahamishe hizo "source," zako ni zipi tupate kulinganisha, "notes."

Lakini kote huko hakuna kulikokuwa na nyaraka za maana kushinda nilizoziona kwa akina Sykes.

Yericko hebu soma tena kipande hicho hapo
chini msikilize mdogo wake Abdul Sykes, Ally mwenye kadi ya TANU No. 2 akizungumza:

‘’I got in touch with Makatta Mwinyi Mtwana one of very influential and rich African businessmen in Tanga who had been a friend of my father. Makatta had established his business in Tanga. He was an importer of khanga and was competing with Indians.

Every weekend I used to travel to Tanga to visit him.

At that time Tanga was the seat of the settler community. Almost all the sisal estates in Tanganyika were in Tanga Province.

During weekends the settlers, almost all of them members of the Sisal Growers Association of Tanganyika, would drive to town from their estates and meet at Planters Hotel, which was exclusive to Europeans to discuss politics of the day. When nationalist politics began they met at the same hotel to plot against TANU.

I got in touch with Mwalimu Kihere to see if we could open a branch in Tanga but unfortunately there was not much I could do there because at that time Tanga was involved in its own internal social conflicts, which prevented the formation of a political party. One day I received a message from Makatta that on Friday at 5 p.m. the Tanga police would come to my house to search me for TANU documents.

I put whatever TANU papers I had in a box and went to hide them at a place where no one would think of searching. I hid the papers at Akena’s house. When a white police officer and three black policemen raided my house that day they found nothing.

They tore my mattresses and pillows, they combed the room but they could not find any paper to incriminate me.

How was Makatta informed of the raid against my house?

TANU had sympathisers in many places in the colonial administration. One of them tipped him off.

I stayed at Korogwe for eight months until when I became sick with a serious kidney ailment as a result of polluted water. I was referred to Dar es Salaam Sewa Haji Hospital for treatment. I needed an operation but there was no qualified kidney expert in Tanganyika to perform the operation. I was put on medication to relieve the pain.

The operation came to be performed in Dar es Salaam 1962 after independence by one Dr. Lean from Britain.

I did not return to Korogwe after getting well as I was transferred to Moshi Labour Office. I immediately began to organise for TANU. By then TANU had sent Nyerere to the United Nations in New York to plead for Tanganyika’s independence.

At the United Nations, Nyerere was not articulating anything new since his speech was from the very recommendations of the memorandum which the TAA Political Subcommittee had prepared and submitted to the Constitutional Development Committee of Governor Edward Twining in 1950 which were however ignored by the Governor.

Twining instead pursued a multiracial representation in the Legislative Council and to keep up with its stand, the government sent a multiracial delegation composed of I.C. Chopra, an Asian, Sir Charles Phillips a European, and Liwali Yustino Mponda, an African member of the Legislative Council for Newala, to oppose TANU at the United Nations.

We were determined to show the government that TANU had clout.’’

(Alphonce Akena alikuwa katika Jeshi la Polisi na baada ya uhuru akawa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai).

Nani leo hata hapo Maktaba ya CCM Dodoma anaeweza kukupa taarifa hizi.

Mimi nina sauti ya Ally Sykes akieleza haya katika tapes.
Mudir!
Nafyonza Ilm taarrtibu huku nakunywa kahawa na faluda.
 
Mudir!
Nafyonza Ilm taarrtibu huku nakunywa kahawa na faluda.
Ritz,
Bwana Ally mzee wangu kanisomesha mengi.

Umemwona Alphonce Akena hapo rafiki yake Ally Sykes...

Mikadi ya TANU ya Ally Sykes kaibeba yeye kuificha kwake Korogwe Police Barracks.

Ana historia inayojitegemea...

Huyo ndiye aliyetoboa tundu ndege akapuruchuka akaibukia London.

Yericko anasema ana kitabu cha ujasusi ndani hakuna habari za Kitwana Kondo wala Amiri Kweyamba wala Ali Mwinyi Tambwe wala Mohamed Omari Mkwawa wala Rashid Kayugwa wala chenga za Akena.

Dossa Aziz anasema kazi zote za hatari wakimpa Ally Sykes lakini wakitaka kuandika barua serikalini hiyo kazi ya Hamza Mwapachu, Abdul Sykes na Stephen Mhando alipofika Nyerere akaingizwa kwenye kundi la waandishi wa TAA.

Ally Sykes vitani Burma alikuwa "marksman," Wazungu wakimwogopa kwa kupiga, "bull," na alipata ile medali ya mkasi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohamed Said haya unayoyaandika kwa kuegemea upande mmoja yana kasoro n.a. yatakuumbua mbele ya safari. Ubaya wa UKWELI haufunikwi kigodoro halafu ukatulia. Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohamed Said haya unayoyaandika kwa kuegemea upande mmoja yana kasoro n.a. yatakuumbua mbele ya safari. Ubaya wa UKWELI haufunikwi kigodoro halafu ukatulia. Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu mzee wa soga tushamwambia,tunamwambia na tutamwambia kwa porojo zake!
*njia ya muongo fupi umeumbuka na utaendelea kuumbuka mpaka ukamilifu wa dahari,na watu watapiga kaburi lako mawe wakikulaani wewe pamoja na kizazi chako chote kwa chuki ya udini unaipandikiza
 
Mohamed Said haya unayoyaandika kwa kuegemea upande mmoja yana kasoro n.a. yatakuumbua mbele ya safari. Ubaya wa UKWELI haufunikwi kigodoro halafu ukatulia. Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangawizi lipi ulionalo si kweli.
Tafadhali nionyeshe.

Sijaegemea popote bali ndizo nyaraka zaTANU hizo.

Huko si kuegemea bali kueleza yaliyojiri kwa ushahidi.

Research Methodology ndivyo inavyotaka.

Kuna ukweli zaidi ya kauli ya waasisi wenyewe wa TANU?

Au wewe uliyajua haya kabla ya kuyasoma hapa?

Mbona mnatishika na historia iliyopita zaidi ya nusu karne?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama alivyofundisha Maalim Haruna mjinga anafunzwa kwa kuwekewa ukweli tena na tena na tena.

Nimeweka vipande vya "Under the Shadow of British Colonialism," vikielezwa na mwanachama muasisi kadi ya TANU No. 2.

Kama hizo ni porojo au soga yeye aje na ukweli.

Au niweke kipande kingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yericko,
Chini hapo Maalim Faiza kakuuliza, ''Huoni haya?''
Hiki hakiwezi kuwa kitabu.

Hakiwezi kuwa kitabu kwa sababu hayo uliyoandika hayatoki katika
kichwa chako.

Umekaa chini ukanyanyambua huku na kule.

Mimi nikilijua hili kwa muda mrefu ndiyo maana nikikuuliza sana nani,
''publisher,'' wa kitabu chako?

Ili kitabu kiitwe kitabu kinahitaji kiwe na kitu kipya.
Kazi ya kunakili haiwezi kuchapwa kitabu.
km wewe yangekuwa yanatoka kwenye kichwa chako usingezunguka kwenda kupata soga kwenye majumba yao na wewe ukitumia nyaraka toka sehem mbali mbali km kwa 'ally', dom nk
hata wewe ulichoandika ni secondary,taarifa ambazo zipo!
 
Back
Top Bottom