Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Mohamed, sina uhakika kama umeshawahi kumsikia mtu anaitwa James Watson.

Sifa zake unaweza kuzi-google. Kwa ufupi ni nguli Dunia wenyewe wakisema, eminent scientists,Nobel prize winner. Ana sifa za utafiti maabara si kama tourist

Miaka takribani kumi akiwa mtafiti nguli alieleza utafiti wake.
Wenzake walimhoji na kumzuia kushiriki shughuli katika maabara maarufu US na duniani

James aliomba radhi kwa jambo hilo

Kufanya utafiti hakuku 'exonerate' kutoka katika tabia za kawaida za binadamu.

Ukiwa mtafiti una inherent characters zisizotegemea kazi ufanyayo, ni za kibinadamu tu
Usichukue utafiti kama kinga ya tabia za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo kwa namna tofauti kutokana na maumbile n.k.

Kuwa muongo ni matokeo ya kusema uongo.
Je, wanaosema wewe ni muongo wanakuonea?

Upo katika rekodi ukisema mwanzilishi wa AA likuwa Kleist.
Hili lilidumu hadi ilipothibitishwa na wanajamvi Cecil Matola na wenzake waliasisi chama , Matola akiwa Rais si Kleist!

Upo katika rekodi ukisema, alimwingiza Nyerere katika siasa ni Abdul Sykes!
Hili lilidumu hadi ilipothibitishwa kuwa Nyerere alianza siasa akiwa 'Kampala'
Aliandika barua ya kisiasa akiwa huko , kabla hajaonana na Abdul

Upo katika rekodi ukisema Nyerere alikutana na Abdu kwa mara ya kwanza alipokuja Dar 1950 na kwamba Abdul hakumjua kabla ya hapo

Ilionyeshwa kuwa Nyerere alihudhuria mkutano mwaka 1948 akiwa katibu wa tawi kubwa Tabora na alikutana na watu mashuhuri wa TAA. Abdul kutomjua haikuwa kweli

Ukasema aliyeunda TANU ni Abdul Sykes na sub committee iliyoandika katiba
TANU ikiundwa Rais alikuwa Nyerere, Abdul aliunda vipi?

Kwa mujibu wako TAA-Rais alikuwa Nyerere na Vice Pres Abdul, Kwamba, VP aliweza kubadili TAA kuwa TANU , President akiwa hajui!

Katiba ya TANU ilinukuliwa na aliyenukuu ni Nyerere si Abdul Klesit Sykes Mbuwane.

Orodha ni ndefu ikionyesha ima kwa bahati mbaya au kwa makusudia umesema yasiyo kweli kwa i.e uongo na atendae ni muongo

Kwa tukio moja unaweza kupewa benefit of doubt, kwa series ya matukio hiyo ni pattern na sijui wanaosema muongo wanakosea wapi! Je wanakosea kwasababu wewe ni mtafiti!

*njia ya muongo fupi!
Umepiga kwenye mfupa hapa ataugulia sana
 
Unajidanganya sana na kuamini una ulimwengu wako ambao wengine hawataenda bila wewe
Yericko,
Hapana hiyo sentensi haina maana hiyo kuwa ni dunia yangu tu bali
ni msemo wa Kiswahili wa mtu kustaajabu kitu au jambo.

Haina maana kuwa wengine hawatafika.
 
Lini walianzisha kupinga kutawaliwa au kudai uhuru hao wazee wako?

Mambo ya kupinga kutawaliwa na kudai uhuru aliasisi Julius Nyerere aliporejea toka masomoni na kuanzisha TANU, huko nyuma wazee wako walikuwa ni walevi wakiratibu mambo ya ubwabwa na biriani tu..
Kuna siku miaka kadhaa iliyopita uliahidi utakuja na kanda ya "baba" ko wakati anaaga Diamond Jubilee, unakumbuka? Iko wapi na miaka mingapi sasa?

Kuna siku ukapinga kuwa Chief Mkwawa hakuitwa Abdallah, ukasema utakuja na facts kutoka Iringa, umekuja nazo?

Kuna siku ulidai Julius Nyerere ni babako mzazi, unakumbuka? Andrew Nyerere akaja kukuumbuwa.

Kuna siku kuna kijana alifunguwa uzi humu humu JF kuwa umemtapeli pesa zake. Unakumbuka?

Bado huna haya?
 
Unajuwa maana ya copycat? Unajuwa maana ya "plagiarism"?
Ukiweka vielelezo na vyanzo hayo yote yanakufa, unabaki usomi usio na mawaa, Tatizo mzee wako anatumia utafiti wa mnyororo mmoja tu,

Deisy Sykes mtoto wa Abdul Sykes mjukuu wa Kleist Sykes ndie aliyempa nyaraka Mwalimu wake wa chuo aitwaye John Ilife, na kitabu cha Mohamed chanzo cha historia nzima ni Daesy na John I,

Sasa tumia akili kujua kuwa kumbe historia ya Mohamed chanzo ni Sykes to Sykes, je unataraji jini hapo?
 
Ukiweka vielelezo na vyanzo hayo yote yanakufa, unabaki usomi usio na mawaa, Tatizo mzee wako anatumia utafiti wa mnyororo mmoja tu,

Deisy Sykes mtoto wa Abdul Sykes mjukuu wa Kleist Sykes ndie aliyempa nyaraka Mwalimu wake wa chuo aitwaye John Ilife, na kitabu cha Mohamed chanzo cha historia nzima ni Daesy na John I,

Sasa tumia akili kujua kuwa kumbe historia ya Mohamed chanzo ni Sykes to Sykes, je unataraji jini hapo?
Wewe hata picha uliyobandika humu umetoa kwa Mohamed Said.

Kataa.
 
Kuna siku miaka kadhaa iliyopita uliahidi utakuja na kanda ya "baba" ko wakati anaaga Diamond Jubilee, unakumbuka? Iko wapi na miaka mingapi sasa?

Kuna siku ukapinga kuwa Chief Mkwawa hakuitwa Abdallah, ukasema utakuja na facts kutoka Iringa, umekuja nazo?

Kuna siku ulidai Julius Nyerere ni babako mzazi, unakumbuka? Andrew Nyerere akaja kukuumbuwa.

Kuna siku kuna kijana alifunguwa uzi humu humu JF kuwa umemtapeli pesa zake. Unakumbuka?

Bado huna haya?
Una akili ya namna gani ndugu? Unaulizwa swali A, unajibu C, hebu soma swali tena kisha jibu
 
Ukiweka vielelezo na vyanzo hayo yote yanakufa, unabaki usomi usio na mawaa, Tatizo mzee wako anatumia utafiti wa mnyororo mmoja tu,

Deisy Sykes mtoto wa Abdul Sykes mjukuu wa Kleist Sykes ndie aliyempa nyaraka Mwalimu wake wa chuo aitwaye John Ilife, na kitabu cha Mohamed chanzo cha historia nzima ni Daesy na John I,

Sasa tumia akili kujua kuwa kumbe historia ya Mohamed chanzo ni Sykes to Sykes, je unataraji jini hapo?

Nataraji historia ya Sykes Family na vipi waliianzisha TANU.

Wewe ulifikiri kuna nini zaidi?

Unaelewa kuwa hata jina la TANU Nyerere alikuta tayari limeshabuniwa miaka mingi kabla hajaja Dar?
 
Yericko,
Hapana hiyo sentensi haina maana hiyo kuwa ni dunia yangu tu bali
ni msemo wa Kiswahili wa mtu kustaajabu kitu au jambo.

Haina maana kuwa wengine hawatafika.
Uchapaji na uuzaji kitabu mtandani unazuia kufanywa marejeo ikiwa mapitio/marejeo ndio utetezi wako katika vitabu vyako?
 
Nataraji historia ya Sykes Family na vipi waliianzisha TANU.

Wewe ulifikiri kuna nini zaidi?

Unaelewa kuwa hata jina la TANU Nyerere alikuta tayari limeshabuniwa miaka mingi kabla hajaja Dar?
Historia gani huandikwa ya upande mmoja? Wapi Julius Nyerere aliwahi kutoa maoni au kuhojiwa na Mohamed Said ikizingatiwa kitabu chake kimetoka Mwalimu akiwa hai? Hakukuwa na umuhimu wa Rais wa TANU kuhojiwa juu ya historia ila ikawa mhimu mjukuu wa Kleist Sykes Mbuwane kuhojiwa na kutumia nyaraka zinazoitwa za baba yake?
 
Ndugu FaizaFoxy
Lini wazee wako walianzisha kupinga kutawaliwa au kudai uhuru hao wazee wako?

Mambo ya kupinga kutawaliwa na kudai uhuru aliasisi Julius Nyerere aliporejea toka masomoni na kuanzisha TANU, huko nyuma wazee wako walikuwa ni walevi wakiratibu mambo ya ubwabwa na biriani tu..
 
Historia gani huandikwa ya upande mmoja? Wapi Julius Nyerere aliwahi kutoa maoni au kuhojiwa na Mohamed Said ikizingatiwa kitabu chake kimetoka Mwalimu akiwa hai? Hakukuwa na umuhimu wa Rais wa TANU kuhojiwa juu ya historia ila ikawa mhimu mjukuu wa Kleist Sykes Mbuwane kuhojiwa na kutumia nyaraka zinazoitwa za baba yake?

Unatarajia kwenye historia uwasaili wote unaowataja?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ndugu FaizaFoxy
Lini wazee wako walianzisha kupinga kutawaliwa au kudai uhuru hao wazee wako?

Mambo ya kupinga kutawaliwa na kudai uhuru aliasisi Julius Nyerere aliporejea toka masomoni na kuanzisha TANU, huko nyuma wazee wako walikuwa ni walevi wakiratibu mambo ya ubwabwa na biriani tu..
Nyerere aliikuta TAA ipo ina wenyewe.

Hujajibu swali, unafahamu kuwa hata jina la TANU lilikuwa tayari limeshabuniwa kabla Nyerere hajaja Dar?
 
Back
Top Bottom