FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
TAA aliikuta ikiwa na adiology gani?
Ndiyo nini hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAA aliikuta ikiwa na adiology gani?
Ukiweka vielelezo na vyanzo hayo yote yanakufa, unabaki usomi usio na mawaa, Tatizo mzee wako anatumia utafiti wa mnyororo mmoja tu,
Deisy Sykes mtoto wa Abdul Sykes mjukuu wa Kleist Sykes ndie aliyempa nyaraka Mwalimu wake wa chuo aitwaye John Ilife, na kitabu cha Mohamed chanzo cha historia nzima ni Daesy na John I,
Sasa tumia akili kujua kuwa kumbe historia ya Mohamed chanzo ni Sykes to Sykes, je unataraji jini hapo?
Yericko,TAA aliikuta ikiwa na adiology gani?
Yericko,Historia gani huandikwa ya upande mmoja? Wapi Julius Nyerere aliwahi kutoa maoni au kuhojiwa na Mohamed Said ikizingatiwa kitabu chake kimetoka Mwalimu akiwa hai? Hakukuwa na umuhimu wa Rais wa TANU kuhojiwa juu ya historia ila ikawa mhimu mjukuu wa Kleist Sykes Mbuwane kuhojiwa na kutumia nyaraka zinazoitwa za baba yake?
Yericko,Umepiga kwenye mfupa hapa ataugulia sana
Kwahiyo Historia ya TANU Nyerere hakustahili ila mjukuu wa Kleist alistahili na ndie taa ya historia?
Teh teh teh!Kuna siku miaka kadhaa iliyopita uliahidi utakuja na kanda ya "baba" ko wakati anaaga Diamond Jubilee, unakumbuka? Iko wapi na miaka mingapi sasa?
Kuna siku ukapinga kuwa Chief Mkwawa hakuitwa Abdallah, ukasema utakuja na facts kutoka Iringa, umekuja nazo?
Kuna siku ulidai Julius Nyerere ni babako mzazi, unakumbuka? Andrew Nyerere akaja kukuumbuwa.
Kuna siku kuna kijana alifunguwa uzi humu humu JF kuwa umemtapeli pesa zake. Unakumbuka?
Bado huna haya?
Zingatia kuwa historia yako unasisitiza kuwa ni yale yaliyofichwa na wanatanu wa Chuo cha Kivukoni,Yericko,
Kwa kweli mimi nilikuwa na taarifa zote za Mwalimu Nyerere kuhusu
TANU kwanza kutoka katika vitabu na ''lecture,'' za walimu wangu Chuo
Kikuu Cha Dar es Salaam sikuhitaji chochote ambacho sikuwa sikijui
kutoka kwake.
Maisha ya Mwalimu Nyerere katika TANU yalikuwa yameandikwa na
Chuo Cha Kivukoni na yakijulikana.
Sijui wewe ungependa niende kwake nimuulize kitu gani?
Ningependa kusikia mawazo yako.
Msomi kiongoziHii ndiyo JF mpya haya maandishi kaandika nani? Gwiji la JF?
Teh teh teh
TANU ilikuwaje iundwe na katibu bila rais ambaye wewe unampuuza?Yericko ni hivi wala usijisikie vibaya wala kukupitikia kuwa nafanya dharau. Mimi mkononi nilikuwa na mswada wa Kleist Sykes ulioeleza maisha yake katika African Association kuanzia 1929 hadi alipofariki 1947. Isitoshe nina Nyaraka za Sykes kipindi cha wanae wako TAA baada WWII 1945 hadi walipounda TANU 1954. Nilikuwa na taarifa za kutosha kuhusu TANU kuliko walizokuwanazo Chuo Cha Kivukoni. Labda unifahamishe kipi nilichokosa kwa kutomhoji Mwalimu Nyerere.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinkingTANU ilikuwaje iundwe na katibu bila rais ambaye wewe unampuuza?
Leo historia ya ccm katika 2010-2015 unaweza kuiandika kwakumtumia Kinana tu bila kumsikiliza Kikwete?
Kosa kubwa umemfifisha na kumdogosha mwasisi wa TANU bwana Julius Nyerere
Yericko hili neno, "kudogosha," nimelipenda. Una fikra gani na wale, "waliofuta?"TANU ilikuwaje iundwe na katibu bila rais ambaye wewe unampuuza?
Leo historia ya ccm katika 2010-2015 unaweza kuiandika kwakumtumia Kinana tu bila kumsikiliza Kikwete?
Kosa kubwa umemfifisha na kumdogosha mwasisi wa TANU bwana Julius Nyerere
Nyerere hakuwa Mtanganyika wa kwanza kwenda UN.Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking
Kuna hoja mbili kuhusu hili
1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam
Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali
2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir
Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.
Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.
Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole
3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.
Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki
1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.
Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10
Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine
Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii
Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.
Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?
Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!
Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.
Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia
Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
Povu linakutoka nikafikiri umekuja na kitu kipya. Kumbe unatamani historia alivyoandika Mohamed Said iwe vingine.Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking
Kuna hoja mbili kuhusu hili
1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam
Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali
2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir
Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.
Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.
Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole
3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.
Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki
1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.
Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10
Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine
Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii
Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.
Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?
Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!
Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.
Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia
Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
? Kwamba nitengeneze watu wangu katika historia? Hicho si kiwango changuSi uandike historia yako, uwaingize wote bila kuchukua chochote kutoka kwa Mohamed Said.Thubutu.
Yericko,Yericko hili neno, "kudogosha," nimelipenda. Una fikra gani na wale, "waliofuta?"
Sent using Jamii Forums mobile app
Maalim Faiza,Nyerere hakuwa Mtanganyika wa kwanza kwenda UN.
Kumbuka hilo.