rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Rommy,Sheikh mohammad said naomba nikuulize kitu ikiwa unaamini quraan na sunna je ulikuwa unasadiq aqida za sheikh ilunga ikiwa jibu ni yes je unaitikadi kua khilafa itarejea maana sheikh ilunga hakua muislam kanzu alikuwa ni mtu mwenye itiqad za qital kama jibu ni no ina maana sheikh ilunga alikua anapotosha umma juu ya maswala ya khilafa! !! Nataka kujua msimamo wako wewe kama wewe kwa kurejea khilafa iliyopotea tangu 1948 je itarudi! !
Of course jamaa alikuwa na guts na mitazamo ya kigaidi 100% kwani alihimiza hadi mauaji ya mapadri.Huyu si ndio mlezi was wale jamaa was MKIRU?
Shehe yupo kwa mnyazi Sasa anakula mabikiraMwenyezi Mungu Subhana wataalah amrehemu Sheakh Ilunga.. Niliposikia amefariki nilitamani kuja kumzika lkn nikichelewa kufika Dar.. Alizikwa Dar alisaliwa sala yake ya mwisho Msikiti wa kichangani ba kuzikwa nafikili makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni..
Swali gumu Sana hili kwa Mzee Mohamed Said hawezi kukujibu. Ila ndani ya moyo wa huyu Mzee Kuna chuki kubwa Sana dhidi ya Wakristo. Hata alipotoka Iran, alipozuiwa na maafisa usalama airport, alianza Kusema, Mimi ningekuwa Mkristo, mngenikamata???Sheikh mohammad said naomba nikuulize kitu ikiwa unaamini quraan na sunna je ulikuwa unasadiq aqida za sheikh ilunga ikiwa jibu ni yes je unaitikadi kua khilafa itarejea maana sheikh ilunga hakua muislam kanzu alikuwa ni mtu mwenye itiqad za qital kama jibu ni no ina maana sheikh ilunga alikua anapotosha umma juu ya maswala ya khilafa! !! Nataka kujua msimamo wako wewe kama wewe kwa kurejea khilafa iliyopotea tangu 1948 je itarudi! !
Luta...
Naam takriban yote ni kuhusu historia ya Waislam Tanzania tofauti ni maudhui.
Kuna makala na vitabu kuhusu mchango wa Waislam katika kupambana na ukoloni wa Wajerumani na Waingereza.
Hii ni historia ya uhuru wa Tanganyika.
Kuna mada zinazojadili matatizo ya Waislam katika kupata elimu ya juu katika Tanzania huru.
Kuna mada za Uislam na Ugaidi.
Ungependa kujua kwa nini?
Hujui kiswahiliYaani Title tu ya kitabu unafanya typing error, sasa humo ndani umeandikaje KUULINGANIA ndiyo mnyama gani,, huwa unajipamba unaandika kwenye international publishing Agent, mambo madogo kama haya yanakufanya uwe mwepesi kwenye hoja zako zenye makengeza,,,,,,,,View attachment 1283869
Kama hautokei pande za Bara basi utakuwa mutu ya congo.Yaani Title tu ya kitabu unafanya typing error, sasa humo ndani umeandikaje KUULINGANIA ndiyo mnyama gani,, huwa unajipamba unaandika kwenye international publishing Agent, mambo madogo kama haya yanakufanya uwe mwepesi kwenye hoja zako zenye makengeza,,,,,,,,View attachment 1283869
Heci,Swali gumu Sana hili kwa Mzee Mohamed Said hawezi kukujibu. Ila ndani ya moyo wa huyu Mzee Kuna chuki kubwa Sana dhidi ya Wakristo. Hata alipotoka Iran, alipozuiwa na maafisa usalama airport, alianza Kusema, Mimi ningekuwa Mkristo, mngenikamata???
Heci,
Huenda mwenye chuki ni wewe.
Unamuhukumuje mtu usiyemjua?
Soma pitia unavyonitaja utatambua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemjibu kiutu uzima kwa hekima na busara nyingi sana.Dogo...
Tujaalie nimekosea.
Ilikuwa wewe kunifahamisha kuwa nimefanya makosa nami ikiwa kweli nimekosea nakushukuru na nafanya masahihisho.
Bahati mbaya umeandika kwa nia ya kunifedhehesha.
Lakini mimi sijafanya kosa lolote hivyo ndivyo nisemavyo na ndivyo niandikavyo.
Nimeangalia uandishi wako.
Pitia tena taratibu.
Wala mimi sitakunanga kwani kukosea ni silka yetu wanadamu.
Aliye mkamilifu ni Allah SW.
Kwani humu Kuna mtu anakatazwa juu ya kuandika kile anachopenda mwenyewe!??Mohamed Said, maandiko yako yote ni kuhusu uislam,