rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Sheikh mohammad said naomba nikuulize kitu ikiwa unaamini quraan na sunna je ulikuwa unasadiq aqida za sheikh ilunga ikiwa jibu ni yes je unaitikadi kua khilafa itarejea maana sheikh ilunga hakua muislam kanzu alikuwa ni mtu mwenye itiqad za qital kama jibu ni no ina maana sheikh ilunga alikua anapotosha umma juu ya maswala ya khilafa! !! Nataka kujua msimamo wako wewe kama wewe kwa kurejea khilafa iliyopotea tangu 1948 je itarudi! !