Kumbukumbu za Balozi Mwapachu: Kitabu Kipya

Kumbukumbu za Balozi Mwapachu: Kitabu Kipya

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
KUMBUKUMBU ZA BALOZI JUMA MWAPACHU
Balozi Juma V. Mwapachu amechapa kumbukumbu zake.

1647342268547.png
 
Africa na hasa Tanzania mtu akiandika kitabu ni kama UCHURO vile!! Sir. Andy Chande aliandika " A knight in Afica. A journey from Bukene" baada ya hapo akatutoka.. Rais Mstaafu. Ben Mkapa nae baada ya kutoa kitabu chake akatutoka! Balozi Juma Mwapachu nae ndio ametoa kitabu chake ; pengine muda umefika , hopefully not lakini inatisha!!
Kikwete aliahidi nae kutoa kitabu ,sijui atakitoa lini!!!
 
Africa na hasa Tanzania mtu akiandika kitabu ni kama UCHURO vile!! Sir. Andy Chande aliandika " A knight in Afica. A journey from Bukene" baada ya hapo akatutoka.. Rais Mstaafu. Ben Mkapa nae baada ya kutoa kitabu chake akatutoka! Balozi Juma Mwapachu nae ndio ametoa kitabu chake ; pengine muda umefika , hopefully not lakini inatisha!!
Kikwete aliahidi nae kutoa kitabu ,sijui atakitoa lini!!!
Mzee Shirima pia
 
Africa na hasa Tanzania mtu akiandika kitabu ni kama UCHURO vile!! Sir. Andy Chande aliandika " A knight in Afica. A journey from Bukene" baada ya hapo akatutoka.. Rais Mstaafu. Ben Mkapa nae baada ya kutoa kitabu chake akatutoka! Balozi Juma Mwapachu nae ndio ametoa kitabu chake ; pengine muda umefika , hopefully not lakini inatisha!!
Kikwete aliahidi nae kutoa kitabu ,sijui atakitoa lini!!!
Umemsahau Mzee Machache
 
Back
Top Bottom