Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mzee Shirima piaAfrica na hasa Tanzania mtu akiandika kitabu ni kama UCHURO vile!! Sir. Andy Chande aliandika " A knight in Afica. A journey from Bukene" baada ya hapo akatutoka.. Rais Mstaafu. Ben Mkapa nae baada ya kutoa kitabu chake akatutoka! Balozi Juma Mwapachu nae ndio ametoa kitabu chake ; pengine muda umefika , hopefully not lakini inatisha!!
Kikwete aliahidi nae kutoa kitabu ,sijui atakitoa lini!!!
Umemsahau Mzee MachacheAfrica na hasa Tanzania mtu akiandika kitabu ni kama UCHURO vile!! Sir. Andy Chande aliandika " A knight in Afica. A journey from Bukene" baada ya hapo akatutoka.. Rais Mstaafu. Ben Mkapa nae baada ya kutoa kitabu chake akatutoka! Balozi Juma Mwapachu nae ndio ametoa kitabu chake ; pengine muda umefika , hopefully not lakini inatisha!!
Kikwete aliahidi nae kutoa kitabu ,sijui atakitoa lini!!!