Hata hiyo Michango konki unayoidai kukosekana.....haina maana yoyote kwa Taifa,bali ni Upuuzi tuCCM inaviongozi wengi makini lakini ajali ilitokea akaingia aliyeingia akatujazia watu wa ajabu bungeni infact it's a big LOSS, hasara kwa taifa hatuoni michango konki ya kibunge tuliyoizoea, Sijui kwanini alijaza watu wa aina ile na kwa lengo gani? (wagonga meza bah bah bah)