Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa ok! Hao wahujumu uchumi wa zamaniMiche ya mazao iliuzwa kwenye bustani za serikali, sasa baadhi ya wakulima baada ya manunuzi hawaitunzi vizuri, sasa ikifa wanairudisha bustanini kwa ajili ya refund ndio mtunza bustani anawaambia najua yote
IndeedINTERESTING FACT OF HISTORY
In ancient Egyptian times, women were seen and honored as greater and holier than a man. The woman is the mother of all, giving life and teaching. The ancients believed that when a man gained a lot of knowledge, spirituality, and power, he would have the right to wear a long hair wig to symbolize that he had reached a certain level equal to a woman. As the two come together, she holds her man, giving him strength and protection. There is a saying that still floating around today behind every successful man is a strong woman holding him down.View attachment 2411659
Hawa Ndio Binadamu Wakubwa Walioishi Kipindi Hiko cha Nabii Saleh.Walikuwa wanachonga Nyumba kwenye Milima Watu wa Qaumu Ad na Thamud.![emoji848]View attachment 2410420
[emoji1545][emoji818][emoji817]Mwanzo 6:1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile;tena ,baada ya hayo ,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za binadamu,wakazaa nao wana;hao ndiyo waliokuwa watu hodari zamani ,watu wenye sifa.