Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Lakini ndugu mjumbe mimi najua mlidai upinzani umekufa, huoni kuwa kuzungumzia habari za Lissu na urais ni kupoteza muda? Mna wasiwasi gani wakati mmejenga fly over, mmenunua ndege, SGR, Nyerere dam, na mengine mengi. Mbn mnaonekana kutojiamini?
 
Ukimchukia mtu anayekuzidi uwezo wa kichwa . Hakukufanyi wewe kuwa na akili. Lissu yuko smart labda figisu .
Uwezo wake kichwani sio kigezo cha kuwa rais. Kama alijitoamhanga kutetea kampuni kama Acaccia unadhani anafaa kuwa hata diwani? Yupo tayari kuuza hata watanzania,kisa anawahusudu wazungu
 
Umesema tayari “wazungu hawakumsikiliza”. Sasa hao mabeberu unaosema ataikabidhi nchi kwao ni akina nani??

Ulishaandika mada, jaribu kuisoma tena uone kama kuna mantiki yoyote!!
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Taifa Lina angamia kwa kuwa na watu Kama wewe
 
magufuli hana jipya katuchosha.
Leo hii hana jipya Ila naona kabsa generation ijayo watamjua Magufuli hata kuliko macelebrities hawa wa nchini..

Kwasababu kipindi cha nyuma watoto walimjua Diamond na Joti zaidi ya Kikwete..

One day mtamkumbuka Ila hatakuwepo tena
 
H
Lumumba hakukaliki hakulaliki haaaa.
Hakukaliki kwa udhamini wa rais mteule wa Jamii Forum, Twitter, Instagram 😁😁😁, but out there watanzania huwaambii chochote juu ya mtetezi wa wanyonge JPM.
 
CCM tulieni demokrasia ifanyike nchi tumekosa demokrasia kwa miaka mingi. Yule tishio la jiwe amerudi na watanzania wanamkubali kuliko hapo mwanzo, hii ni mipango ya Mungu, jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni. Siasa anazofanya magu ni za kibabe na kidikteta kamwe hazikubaliki, tupo na Tundu Antipas Lissu mwaka huu.
Seriously!? au mnajifariji tu no body can defeat JPM you have my words.
 
acha kuongea shit ww, hii ni nchi huru, kila mtu ana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka kama ni JPM au LISU sasa wewe una hamasisha kama nan?
 
Hatutaki mtu anayetetea Lesbians ,arudi hukohuko alipokuwa
Hao hao lesbo pale Lumumba wanawaita mabeberu na wanaume kweli kweli..

mwaka huu hakuna wakumwachia Mungu..

T 2020 CDM
 
Uwezo wake kichwani sio kigezo cha kuwa rais. Kama alijitoamhanga kutetea kampuni kama Acaccia unadhani anafaa kuwa hata diwani? Yupo tayari kuuza hata watanzania,kisa anawahusudu wazungu
Umepotelea wapi bababhuko ?! Au umekatwa ?!.

Lissu hajawahi kuwatetea wazungu, Bali amekosoa how we handle these issues. Na hapo hujakubali kama maamuzi ya mabosi hasa omukaya yameliingiza nchi hii chaka !!. Ref mkataba wa bagamoyo rd . Najua ukipenda chongo utaiita kengeza [emoji120]
 
Bora kukabidhi nchi kwa mabeberu ili ajira ziongezeke sio kwa mkwamo huu
 
Umepotelea wapi bababhuko ?! Au umekatwa ?!.

Lissu hajawahi kuwatetea wazungu, Bali amekosoa how we handle these issues. Na hapo hujakubali kama maamuzi ya mabosi hasa omukaya yameliingiza nchi hii chaka !!. Ref mkataba wa bagamoyo rd . Najua ukipenda chongo utaiita kengeza [emoji120]
Ahaaa Jaduong, kukosoa how we handle these situations ndio kusema hamuwezi kubadili mikataba? Na kuanza kusema mtashitakiwa MIGA? Na kwamba madini yote yalikuwa mali ya Accacia!
Leo hii inaundwa Twiga minerals Ltd na serikali inapata 16% shares na economic benefits 50% mnabeza eti hakuna lolote la maana.
 
Sasa kiingereza hujui !!, Unajilazimisha kuiandika ya nini ?!. Mtu kama wewe uni challenge kweli ?!.

Masikini wafuasi wa Ccm
Usikariri english, nmeandika makusudi na umeelewa, eti challenge, challenge mitandaoni is for pussy cat. Sina huo muda, tukutane uso kwa uso.
 
Ahaaa Jaduong, kukosoa how we handle these situations ndio kusema hamuwezi kubadili mikataba? Na kuanza kusema mtashitakiwa MIGA? Na kwamba madini yote yalikuwa mali ya Accacia!
Leo hii inaundwa Twiga minerals Ltd na serikali inapata 16% shares na economic benefits 50% mnabeza eti hakuna lolote la maana.
Still we have nothing, believe or not. Na bado kufikia hayo makubaliano tumepoteza vingi na ndiyo maana hatukushtakiwa huko miga. Najua hata Barick & Acacia wamepoteza sana na ndiyo maana Ile lugha ya kila mtu Noah iliishia hewani .

Kuwa nje ya box ufikiri vizuri
 
Back
Top Bottom