Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Nina shida moja kwamba siwezi kuamini jambo fulani mpaka kuwe na 'justification'. Msimamo kama huu alikuwa nao mwanafalsafa na mwanasayansi Mfaransa, René Descartes (1596-1650). Alikuwa na methodolojia aliyoiita 'methodical doubt' iliyomsaidia kupima ukweli wa hoja. Methodolojia yake imenifanya hata mimi mtu akizungumzia jambo fulani kuwe na 'justification'. Kwa hivyo, hata kwa haya uliyoyasema nahitaji kushawishika kwa hilo. Hapa naongelea kwenye kujenga hoja ili niweze kuona kitu kinachoitwa 'truth of reason'.
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
(System haiwezi kukabidhi nchi) sasa kama ni hivyo kura ni za nini? Si muwaambie hao system wamkabidhi wanaemtaka?
 
Still we have nothing, believe or not. Na bado kufikia hayo makubaliano tumepoteza vingi na ndiyo maana hatukushtakiwa huko miga. Najua hata Barick & Acacia wamepoteza sana na ndiyo maana Ile lugha ya kila mtu Noah iliishia hewani .

Kuwa nje ya box ufikiri vizuri
Tunapata mgao wa 16% wa net profit kutokana na na hisa za bure. Bado kuna 50% economic benefit bado unaona tumepoteza? Hatukushitakiwa Miga sababu serikali ipo makini na ilitunga sheria inayoruhusu kubadili mikataba.
Uzalishaji utaanza soon hapo ndio mtajua tumepata au la maana huko nyuma tulikuwa hatuna share hata 1
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Lissu ni msiba wa kitaifa.Anasema kama miaka mitano hali imekuwa mbaya hivi chini ya magufuli basi akiongezewa mingine mitano itakuwa ni gharika.Hivi miundo mbinu yote iliyotengenezwa na miradi mikubwa inayoendelea kwake Lissu ni uharibifu ? Kwa hiyo vilevile ina maana atawaomba hao wakubwa zake huko nje tuondolewe kwenye nchi ya kipato cha kati na turudishwe kwenye nchi masikini zaidi duniani ? INA LILLAH WA INA ILLAIH RAJ'UUN.
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
aisee!
ila spana ya Lissu imeminya korodani zetu vibaya sana aisee huku chamani.... kooote kabisa kuanzia viunga vya hapa Lumumba hadi kule Chamwino!
 
Safari hii hatupangiwi, hatutachagua mbaguzi wa vyama.Tunakwenda na lissu
 
Tunapata mgao wa 16% wa net profit kutokana na na hisa za bure. Bado kuna 50% economic benefit bado unaona tumepoteza? Hatukushitakiwa Miga sababu serikali ipo makini na ilitunga sheria inayoruhusu kubadili mikataba.
Uzalishaji utaanza soon hapo ndio mtajua tumepata au la maana huko nyuma tulikuwa hatuna share hata 1
Huo mgao wa 16% umeuona au unakaririshwa tu??
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi

Dhana ya Ubeberu na Siasa za Tanzania
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Kuendelea kuiweka CCM madarakani ni kuendelea kuifukarisha Tanzania
 
..Jpm alidhihirisha ukibaraka wake alipokubali kuwasamehe Barrick/Accacia deni la usd 191 billion.

..amewasamehe usd 191 billion na badala yake amekubali kishika uchumba cha usd 300 million.

..zaidi ametumia matrilioni ya fedha za walipa kodi wa Tz kwenda kununua ndege toka makampuni ya mabeberu.

..badala ya kujenga viwanda hapa Tz yeye anakwenda kunufaisha viwanda vya kutengeza ndege vya mabeberu.

..jiulize matrilion aliyotumia kununua ndege yangejenga viwanda vingapi hapa Tz?
wewe bado ni mtoto sana kichwani japo unaumri mkubwa.!!!
 
unawaamini sana mabeberu ,hakuna kitu ambacho chadema wanapeda sana kusikiliza kama story za mabeberu wanawaamini vilivyo na kuwatukuza.

..hata ccm wanawapenda mabeberu.

..juzi niliwaona mkikenua baada ya balozi wa usa kuja nchini.
 
Hahaha Leo Lumumba hali si hali. Mnahamisha tu magoli. Na jiandaeni tu kumkabidhi nchi mwana wa Singida, mtoto wa Ilboru, Tundu Antipas Lissu
Kila anaepinga watu wanaomchafua Lissu anapata mi likes ya kumwaga sijui kwanini🤣🤣🤣🤣 yani hii post ina mi likes Kama yote ila mtoa Mada mi like yake haifikii ya huyu comrade walahi lisu mbaya sana
 
Mkuu! Unawaponda hao mabeberu, wakati familia zenu zinatumia neti za misaada.
 
Back
Top Bottom