Kumchamba mtu kwenye ukurasa wa Instagram ni kosa kisheria - Dkt. Ndugulile

Kumchamba mtu kwenye ukurasa wa Instagram ni kosa kisheria - Dkt. Ndugulile

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Dkt Faustine Ndugulile ametoa ushauri kwa wananchi kutumia mitandao ya kijamii vizuri, na kuepuka makosa ya mtandao.

Amesema kuwa na bifu na mtu mtaani halafu kutumia ukurasa wa Instagram kumchamba ni kosa kisheria. Aidha kumkashifu mtu mtandaoni ni kosa.

Amesema hata kama mtu atatumia jina lisilo halisi katika TEHAMA mtu akitenda uhalifu atabainika na kuchukuliwa hatua.

1625140055472.png

 
Mmmmh ndio mnakuja kushtuka sasa hivi hizo zilipendwa. Kama mngekuwa mko serious mngeyapigaga marufuku magazeti za udaku yaliyotuharibu akili.

Jamii imebadilika acheni watu wa kuchangamka wachangamke tu, wanapenda mabinti zenu sisi wajuba tufanyaje?
 
Dkt Faustine Ndugulile ametoa ushauri kwa wananchi kutumia mitandao ya kijamii vizuri, na kuepuka makosa ya mtandao.

Amesema kuwa na bifu na mtu mtaani halafu kutumia ukurasa wa Instagram kumchamba ni kosa kisheria. Aidha kumkashifu mtu mtandaoni ni kosa.

Amesema hata kama mtu atatumia jina lisilo halisi katika TEHAMA mtu akitenda uhalifu atabainika na kuchukuliwa hatua.
Aache mambo ya kipumbavu na ajikite kutanua wigo katika kuendeleza tehama kuendana ulimwengu
 
Aache ufala huyo jamaa watu wakichambana ye inamhusu nini.
 
Dkt Faustine Ndugulile ametoa ushauri kwa wananchi kutumia mitandao ya kijamii vizuri, na kuepuka makosa ya mtandao.

Amesema kuwa na bifu na mtu mtaani halafu kutumia ukurasa wa Instagram kumchamba ni kosa kisheria. Aidha kumkashifu mtu mtandaoni ni kosa...
Waziri wa michambo na umbea.
 
Mawaziri wote walielekezwa kukusanya mapato yeye anaangalia wachambaji asijekulaumu atapotumbuliwa
 
Back
Top Bottom