Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Huyu waziri choko kweliHii wizara ya Ndugulile ya kufutwa tu Ina deal na Mambo ya kijinga na kuacha Mambo ya msingi.
Mbona MB hazijashuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu waziri choko kweliHii wizara ya Ndugulile ya kufutwa tu Ina deal na Mambo ya kijinga na kuacha Mambo ya msingi.
Mbona MB hazijashuka
Naona wizara ifutwe tu kazi yake kufatilia wachambaji wa IG ni ukosefu wa kazi watu kychambana kumekuwepo enzi na enzi lohHuyu waziri choko kweli
Aache ufala huyo jamaa watu wakichambana ye inamhusu nini.
Waziri wa michambo na umbea.
[emoji3][emoji3][emoji3]Huyu waziri choko kweli
Sawa. Tutakuwa tunachambiana Tweeter na fb na chooniDkt Faustine Ndugulile ametoa ushauri kwa wananchi kutumia mitandao ya kijamii vizuri, na kuepuka makosa ya mtandao.
Amesema kuwa na bifu na mtu mtaani halafu kutumia ukurasa wa Instagram kumchamba ni kosa kisheria. Aidha kumkashifu mtu mtandaoni ni kosa..
Ni wizara ambayo haina kazi za kufanya zaidi ya kutweet tu.Naona wizara ifutwe tu kazi yake kufatilia wachambaji wa IG ni ukosefu wa kazi watu kychambana kumekuwepo enzi na enzi loh
na kula pisi Kali ,vifo vyao alitoka Dodoma akafia muhimbili ova muhimbili ndo hua anawatuma inawatumaNi wizara ambayo haina kazi za kufanya zaidi ya kutweet tu.
Jamaa kila kitu kinaenda hovyo hovyo tu akiattend conference ana tweet tu.na kula pisi Kali ,vifo vyao alitoka Dodoma akafia muhimbili ova muhimbili ndo hua anawatuma inawatuma
Masuala ya aibu sana. kama kuna matusi ni kazi ya polisi, yeye akuze teknolojia ya mawasiliano na kuhakikisha watanzania wanafaidika. huyu waziri hana akili ya kuendesha hiyo wizara.Badala ya ku promote inovation wanafuatilia michambo. shame
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliSema Kimeu manaaa
😂😂😂😂😂😂😂Huyu waziri choko kweli
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aah kmmmkeWatu waendelee kuchambia chooni,siyo insta.
"Wapinzani walituchelewesha sana...."
Nasema uwongo ndugu zangu
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 huu mwaka huuNaona wizara ifutwe tu kazi yake kufatilia wachambaji wa IG ni ukosefu wa kazi watu kychambana kumekuwepo enzi na enzi loh