Kumchukua Barmaid na kuingia naye Lodge, Guest House au Geto ni sawa na kumchezea simba

Kumchukua Barmaid na kuingia naye Lodge, Guest House au Geto ni sawa na kumchezea simba

Usiwanyanyapae watoto wa watu,wako wengi tu wanafanya benki ni wauza uchi kwa matajiri wateja wao.
Kuna wengine ni walimu,au watumishi kabisa,achilia mbali wanachuo wasomi watarajali.Wamejisajili kwenye makundi mtandaoni ukiingia insta utapata namba zao.Wanafanya biashara kwa siri.
Ndugu zangu napenda kuwaasa, ma-barmaid wengi ni watu waliofika bar kwa bahati mbaya.

Usidanganyike na makalio, wigi, lip stick, wanja au makucha yale ya bandia.

Wengi ni watu waliokosa njia wakajikuta wako bar. Hivyo ni watu wanaoisaka fedha kwa hila zote. Ni nyoka wale, usiwakumbatie, kimbia.

Utanishukuru mbinguni.

Note: Sijawahi kumtongoza wala kulala na barmaid. Nawaasa tu kwa experience niliyoipata kidogo kuhusu hawa wauza pombe wanaolipwa 50 lakini wanajenga kijijini kwao na kutuma pesa ya kula kwa mama na watoto wake.
 
Sema Kweli. Limekupata la kukupata kutoka kwao?
Huwezi kuwatahadharisha watu kuhusu Mvua wakati wewe mwenyewe haijawahi kukunyeshea!
Weka mambo hadharani watu wakusaidie...na hoja ya uzi wako iwe na maana zaidi sio blah blah tu Mkuu!![emoji846]
Ndugu zangu napenda kuwaasa, ma-barmaid wengi ni watu waliofika bar kwa bahati mbaya.

Usidanganyike na makalio, wigi, lip stick, wanja au makucha yale ya bandia.

Wengi ni watu waliokosa njia wakajikuta wako bar. Hivyo ni watu wanaoisaka fedha kwa hila zote. Ni nyoka wale, usiwakumbatie, kimbia.

Utanishukuru mbinguni.

Note: Sijawahi kumtongoza wala kulala na barmaid. Nawaasa tu kwa experience niliyoipata kidogo kuhusu hawa wauza pombe wanaolipwa 50 lakini wanajenga kijijini kwao na kutuma pesa ya kula kwa mama na watoto wake.
 
Bamedi ni kama kitumoto, wanakipinda lakini walaji wanaongezeka.

Binafsi mabamedi ndipo naponeaga. Nikimpa bia 2 nalipia chumba cha buku 2 naenda kusafisha rungu tena pekupeku
 
Sijasema tuwatenge, ninachosema usimtoe bar na kwenda kufanya naye mapenzi kiholela. They are silent killers
Silent killer kivipi na wewe si utunyooshee maelezo mbona unaongea kwa mafumbo kama nini bwana. Aaaaaagh
 
umewapa hukumu kubwa sana. wahukumu kwa matendo yao binafsi na sio kwa ujumla. wauzaji wako kila mahali,insta,fb, Jf,mpaka kanisani. ninakula barmaid mara kadhaa na tunagwana umasikini fresh tu. mara ya mwisho ilikuwa last year,nikataka kumpa 30k akaniambia asante sikukuuzia. jioni yake akanitumia makange na juice akiwa amelipia.
Kifupi malaya wako kila kona,hata mkeo (kumradhi) anaweza kuwa,ila.hujajua tu
 
Bamedi wanamsaada kwa sisi tunaoishi mbali na familia miezi kadhaa.Ukijiingiza ktk nyumba ndogo ndio unapigwa zaidi, na waweza kuambulia ukimwi na watoto Wa kusingiziwa,kesi na majirani wa kiume nk.Kuna bamedi sio wastaarabu, wanalia shida mpaka unamuongeza dau.
Ila bamedi wanatia huruma sana ktk dunia, omba mungu mtoto wako asijeingia huko,madhara ni makubwa sana,kubakwa,kufir....kwa lazima nk
 
Ukimpata akikisha unampiga kwelikweli badala ya wewe kumuonga pesa kesho atakuonga wewe kinywaji.
Siku niliyokoma ni pale aliponiambia *umalizi tu hujui kuna wengine wanasubiri huduma maliza mi niondoke* usitafute sifa kwa barmaid/Malaya. Ingiza kojoa sepa
 
Huu utoto utakuisha lini? Hujawahi kulala nao lakini una experience, unaandika kitu hujui ni utoto
Mkuu unanikatisha kicheko changu.

Nilisoma uzi wake nikasea hiiiii anakuwaje mzoefu huku akiwa hajawahi kuwala?
 
Ndugu zangu napenda kuwaasa, ma-barmaid wengi ni watu waliofika bar kwa bahati mbaya.

Usidanganyike na makalio, wigi, lip stick, wanja au makucha yale ya bandia.

Wengi ni watu waliokosa njia wakajikuta wako bar. Hivyo ni watu wanaoisaka fedha kwa hila zote. Ni nyoka wale, usiwakumbatie, kimbia.

Utanishukuru mbinguni.

Note: Sijawahi kumtongoza wala kulala na barmaid. Nawaasa tu kwa experience niliyoipata kidogo kuhusu hawa wauza pombe wanaolipwa 50 lakini wanajenga kijijini kwao na kutuma pesa ya kula kwa mama na watoto wake.
Mzee
Pole kwa maswahibu yaliyokukuta.

Next time hakikisha unawasha taa wakati unapiga sarakasi. Najua sasa unatoa tui badala ya haja ndogo. Ndo uzoefu huo
 
Siku hii ndio imeshamiri sana wanajiuza watsapp, telegram huko unachagua mtoto unaungwa nae mnakubaliana pa kukutana...

Sasa hii mbaya sana mana unaeza ingizwa chaka ukawa na girlfriend changudoa bila kujua we upo job mdada analitembeza mchana kutwa
Weka hayo magroup ya telegram na whatsaap tukajionee ya walimwengu.
 
Kuna jamaa yangu alipata mkasa but hakukuwa bar maid but no mdada high classic aliyemkuta bar akipata kilaji
 
Bamedi ni kama kitumoto, wanakipinda lakini walaji wanaongezeka.

Binafsi mabamedi ndipo naponeaga. Nikimpa bia 2 nalipia chumba cha buku 2 naenda kusafisha rungu tena pekupeku
🤣🤣🤣 We jamaa unajilipua tu. Ila ma barmaid wa pale defrancee sinza wamekaa vizuri sana
 
Kuna jamaa yangu anasema, akitaka kuoa ataoa Bar maid, kwa sababu washachoka na maisha wamepitia mambo mengi na akiwekwa ndani anatulia tuliii[emoji16]
 
Wamekuingiza mjini? Sio kwa shutuma hizo. Ubarmaid ni kazi kama kazi nyingine
Hao ndio wabongo wanaodharau kazi za wengine,
By the way nawashukueu sana ma barmaid kwa kutuhudumia kwa upendo sisi wenye stress,maana huwa tunaingia bar tumenuna wakati wa kutoka tunatoka tumetabasam na nyuso za furaha
 
Back
Top Bottom