Kumchungulia mkeo msalani


kukosoa iwe tabu lakini kusifia ruksa ingawa hakuna mtu anaweza kurekebisha maumbile yake?

bado sababu ni demu kujifunikafunika bila sababu za msingi. ningekuwa na uwezo ningeweka sheria inayokataza mtu kuvaa nguo akiwa chumbani ili kukomesha chabo kama hizi!

jaribu kunyooosha tena mkuu, hakijaeleweka
 

kitu gani hajui kwani yeye daktari wa magonjwa ya wanawake? sasa kama mama kajifunikafunika atamjuaje?

kwa kuzingatia apo peusi wahi mapema mirembe! nani kakuambia ma-she wote wako sawa? he!..............heeeeeeeeeeee! hujatest mkuu wewe, wanadivert kishenzi!,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…