Kumdhuru mtu (kumuua, kumpiga nk) kwa sababu anashiriki ngono na mkeo hali ya kuwa mkeo ameridhia ni matumizi mabaya ya akili

CHA MUHIMU NI KUJUA KUWA MKE WA MTU NI SUMU, HAYO UTAYAJADILI WAKATI NI MAREHEMU, WAKATI UMETENDWA VIBAYA, UTASEMA ALIKUBALI KWA HIARI YAKE.

NI SAWA NA UKIKAMATWA NA MWANAFUNZI IWE ALIKUJA MWENYEWE AKAKULAZIMISHA ILA UKIDAKWA NI MIAKA 30 JELA, HAPO JUKUMU NI LAKO KUKAA MBALI NA WANAFUNZI, NDIO ILIVYO HATA KWA MKE WA MTU. USIJE SEMA HATUJAKUAMBIA
 
Tatizo ni ukishabakwa wewe haijalishi tena kama hukubaka. Mbakaji anachotaka ni kukubaka hilo la kutembea na mkewe ni kisingizio au sababu umempa ila alikuwa anakulia timing, pengine alimuomba mkewe amsaidie kutimiza ndoto. Kaa mbali na wake za wabakaji.
 
Acha umalaya na nyege mshindo. Sio kuuliwa tu. Uzabakwa kwanza then ndio uuliwe.

Pumbavu.
Malaya mkeo anayegawa na wewe ni mpumbavu unayefikiri kitu ulichokikuta kwa binadamu mwingine ni mali yako! Kalagabaho, yani abebe kiuno mtu mwingine akatoe kwa raha zake we ukimbizane na mtu usiyemjua una kasoro sana, ndo maana tunasema watz ni nyani ambao bado wapo kwenye process ya kuwa binadamu miaka ijayo.
 
Kweli ni simu, tena ya public inapigwa kila mtu anapotaka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…